Kwan wkt huu kuna issue ipi kubwa sana kuona kwamba nchi inaelekea kuzur kufutwa maadhmsho ya hzo ckukuu au kutengwa hela hzo kwa ajil ya barabara au yy kusafr nje kwa mara ya kwanza kwa kutumia magari?
Je umejarbu kuangalia majirani zako au hata ndg zako wanafaidikaje na utawala huu isije kuwa...
Poa km nabwabwaja ila unadhani kuna rais aliyewahi kushika nchi hii hakufuata katiba?Na km hakuna bac ujue Magufuli ataweza na kufanikiwa ila hofu yng n kwamba wote waliapa km alivyoapa yy na ktk katba ileile
hebu jaribu kuwaza kdogo shekhe kuendesha nchi co kaz kubwa coz kla ktu kpo kimuongozo...
Kuwa mkubwa sio kuota mavuz na ndevu usikae km unaangalia movie unasubr iishe bali tambua ukitoka ww kuna kizaz chako uendeshwaj wa nchi huwa c wa mtu mmoja au taasisi umma unahusika ww endelea kusoma uwazi na ijumaa wkenda bac huwaz ktk akl yako unasubr kuckia na kupelekwa bla kujitambua hii n...
Kwan hapendi kusafr au hakukuwa na hela mbongo gani hapendi kujiacha danganya toto tu hyo au alikuwa anafundshwa u personality kutembelea nchi za watu majaribio n hapa hapa EA kabla ya lembe asijetia aibu akienda
Kwani wingi wa bao au kukaa kifuani sana ni kumfikisha mwanamke au n kujichosha? Mwanaume wa kweli haesabu mabao wala kupumua sana ni akili nyng nguvu kidogo atakuelewa HUWEZI SHINDANA NA ULIKOTOKA huo mpira unavutika tuuuu...na kabla ya hujaanza kipindi kiandae angalia mood zenu kwanza
Anayekuroga anakujua siku zote kanzu ndo mpya ila shekhe n CCM yuleyule,mm huyu mtu Magufuli hata afanye lipi naona anataka sifa tu hana dhati moyoni na hata km anayo haiwezi kuwa na tija coz yy kawekwa na system na hawezi toka nje ya KEY.Ikumbukwe alitukana sana na kulaani safar hzo za nje na...
Bac km na ww unakumbuka vzur mada yako ungegundua hata Magufuli na yy anatuektiA tu kuwa hataki kutumika na wamarekani wkt muundo mzma na mfumo wa nchi yetu umeasisiwa na Wafadhili hao tunaowaita wanyonyaji.Kfup hata magufuli awe kauzu vp si kwa hawa jamaa hatuwez hata kutengeneza toothpic leo...
Hata wao waliandika mikataba ya kupeana misaada sasa kama wamekiuka basi hata wakitunga za kuwabana bado itakuja kutubana coz hakuna anayetekeleza mikataba kiufasaha tatizo serikali haikuwa na mipango na mikataba zaidi ya kuwa na tamaa na ahadi nyng wkt hela za kuomba kutekeleza ilani za chama...
Tusiangalie kuwa kwa MCC au NCHI kipi kilikuwepo kabla ya chenzie ama vp bali ni kuangalia lengo la kuwakutanisha MCC na NCHI yetu lilikuwa ni la maslahi ili kujua nani yupo sahihi tuamue na mh Rais anautendaji mzuri atupe dira isije ikatuathr coz huwezi kumwambia mwanaume mwenzio utampiga sema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.