Recent content by Mjingamumoja

  1. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye kesi yangu ya Madai

    Hapa wanakuona unavyojieleza kesho watakuita tu wasipokuita andaa press ndogo ya kulalamika hadharani Mapaparazi wote warushe utaona Impacts chap
  2. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania Privaldinho: Simba day bila taji lolote ni Zindiko

    KILA club inaweza kusherekea kwa level yake hata Kama imeshika [emoji188][emoji3593]
  3. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania Kweli vizuri gharama, MaDJ ni wengi kuliko Wasanii waimbaji kwenye tamasha la Simba Day 2023

    Thread mbona unajadilika huu hoja ni kuelewa kinachotakiwa kupunguza ma dj kuongeza wasanii
  4. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mutungi ni mzazi anayekula watoto wake. Mbarawa ni muongo mkubwa

    Niko angani[emoji576][emoji576][emoji576][emoji576] sa hii naelekea [emoji917]Dubai[emoji318][emoji318][emoji318] nikifika nikae chemba niisomee ramani hii kampuni Kama ipo huko nitawajuza soon. So be Updated
  5. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania Upinzani kukwamisha maendeleo au upinzani kukwamisha ufisadi?

    Jamaa fanya Kama unamalizia hivi
  6. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania Upinzani kukwamisha maendeleo au upinzani kukwamisha ufisadi?

    Ni mchakato wa kupitishwa au kutokupitishwa kwa mkataba wa uendeshaji wa Bandari za Tanganyika Kati ya Mtawala na Mfanyabiashara wa Uarabuni ndg DUBAI PORT WORLD. { DP WORLD} Je, wanaopinga mkataba huu wanania ipi Kati ya A. Nzuri B.Mbaya { } C. Hawajui walitendalo Kama nzuri, kwani...
  7. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania Kwani CHADEMA huo mkutano ni kongamano la injili? Mnajiharibia

    Kwani kwenye chadema hakuna Waislamu , mbona Kuna wanachadema walioko Zanzibar pia . Hapa ni Geographic nature ukiangalia bara dhehebu ambalo ni Dominant ni Christians Zanzibar ni Islamic so kwa vyovyote vile huwezi kukwepa haya mazingira. Huu mikutano ungeandaliwa Zanzibar naamini % kubwa ya...
  8. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania Wakili Kisabo: Mkutano wa Chadema kujadili Mkataba wa Bandari utalindwa na Polisi, nawapongeza Tanpol kwa Ushirikiano!

    Mi naamini habari za mikutano Ndo fursa ya kujua mengi na kuelimisha wananchi pia
  9. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania KWELI Omary Ramadhan Mapuri aliyeteuliwa kuwa Mjumbe wa tume ya Uchaguzi amewahi kuwa Katibu Mwenezi CCM

    Sijui kipi hakijaeleweka hapo, Ukishasema kwamba alishawahi kuteuliwa kuwa Waziri kwa vyovyote vile alikuwa ana wajibika kwa aliyemteua . Na kimsingi alikuwa anawajibika kwenye Chama moja kwa moja ili kutekeleza Ilani ya Chama. Je ni wapi tumeona Mhe, R.Mapuri amekanusha kuwa si mwanachama wa...
  10. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania Mpaka leo hakuna theist aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo, cha ajabu bado wanatuhubiria Mungu wao

    Hivi suala la uwepo au kutokuwepo kwa Mungu linahitaji hao Sijui Theists ku prove whether True or Not? God is Always there, and Whatever you look like remember that your an Image of God Himself except of your behavior my Friend.
  11. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

    So what next ????
  12. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

    This is issue is behind the future Generations so tusirahisishe tu Mambo hapa ni Busara za Walioshikiria kalamu
  13. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

    Ndo nafika jamani au mumeshaanza nisubiri kidogo
  14. Mjingamumoja

    JamiiForums Tanzania NADHARIA Ulaji wa viazi vitamu huongeza nafasi ya kupata watoto Mapacha

    Somo zuri Sana
Back
Top Bottom