Recent content by mjingamimi

  1. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Kwa hyo tume ya jaji chande imezungumzia utekaji na kuuliwa watu? Tume imessmaje kuhusu kuuliwa Kwa mzee kibao na kuuliwa Kwa balozi polepole?
  2. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Aliyefyatua risasi karibu na Ikulu ya Trump auawa kwa kupigwa risasi

    hilo jambo halitawezekana mpaka trump n netanyahu wanaondoka katika madaraka Yao. Sasa hivi hawana nuclear na Bado mmewashindwa je wakiwa nazo?
  3. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi: Vikwazo vya USA Kwa Maofisa wa Tanzania Kwa Sababu za Kinachoitwa "Kukandamiza Haki za Kiraia" ni hasira za Wivu Kwa kukimbiwa kimkakati

    kwanini msikifute ili mbaki na chama mnavyovipenda. Kuliko kuwaua na kuwateka na kuwatesa bila hatia?
  4. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Aliyefyatua risasi karibu na Ikulu ya Trump auawa kwa kupigwa risasi

    Myahud wa buza unaogopa.utakosa msaada wa kumpiga muajemi.🤣🤣🤣
  5. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Ni kweli. Shida anashindwa kukemea hayo mauaji. Ripoti ya mzee kibao ipo wapi?
  6. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi: Vikwazo vya USA Kwa Maofisa wa Tanzania Kwa Sababu za Kinachoitwa "Kukandamiza Haki za Kiraia" ni hasira za Wivu Kwa kukimbiwa kimkakati

    Huyo mchambuzi atakuwa ni wewe. ila tu jiulize. Kuna umuhimu wowote wa kuwateka,kuwaua ,kuwakamata,kuwafunga watu wa chadema? Kuna umuhimu wowote wa kumuua mtu anayeikosoa serikali.? ukiipata jibu utagundua HAO WACHAMBUZI VICHWANI MWAO KUNA FUNZA
  7. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Aliyefyatua risasi karibu na Ikulu ya Trump auawa kwa kupigwa risasi

    Ya Kennedy yatajirudia
  8. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania MH LISSU atafurahi na atakua Wakwanza Kumpokea Mchungaji Msigwa kwa Furaha, vifijo na Ndelemo!!

    Angepewa hata katibu tarafa.angehama,?
  9. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Aliyefyatua risasi karibu na Ikulu ya Trump auawa kwa kupigwa risasi

    yaani huyo jamaa yenu kila siku anakoswa koswa na risasi yeye tu.atatoboa kweli
  10. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Iran kaanza kutepeta mbele ya Marekani!!

    chanzo=niamini Mimi bro.😃😃😃. uanzishe wewe ugomvi alafu poo uombe wewe
  11. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Neno langu kwa wasaliti wote wanaorejea CHADEMA: Karibuni nyumbani, ila....

    baada ya ugali kumwagika. Hao wapo kimaslahi. Vipi katambi yeye hajaona huo ukiukwaji wa haki za binadamu na kuamua kurudi chadema? Ni tumbo tu.wala sio huruma. Amkeni
  12. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Neno langu kwa wasaliti wote wanaorejea CHADEMA: Karibuni nyumbani, ila....

    MUOGOPE BINADAMU MWENYE TABIA YA KINYONGA🚶🚶🚶
  13. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Neno langu kwa wasaliti wote wanaorejea CHADEMA: Karibuni nyumbani, ila....

    Wasaliti wasirudi. Baada ya kukosa ugali huko ndo anarudi. Toka October 29 mpaka leo ni miezi mingapi imepita? alipewa ahadi akawa anasubiri ikageuka hewa.ndo anaamka
Back
Top Bottom