Recent content by mjingamimi

  1. mjingamimi

    Ilikuwaje dini za Afrika zikafutwa kirahisi kabisa na dini za Wazungu na Waarabu?

    Imani ya mungu mmoja ndo Iko sahihi.isiyokuwa na shaka
  2. mjingamimi

    Heche adai mahakama inatumika kumkandamiza Lissu

    Wenzenu wanataka maridhiano. Wanataka kumtoa shida watamtoaje
  3. mjingamimi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kapiga Tena Kambi za marekani Iraq na Yemen.😁😁
  4. mjingamimi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Babu yenu anamuomba zelensky msaada 😁😁
  5. mjingamimi

    Ilikuwaje dini za Afrika zikafutwa kirahisi kabisa na dini za Wazungu na Waarabu?

    Hapana . tatizo unachoamini. Ukiamini mawe makubwa na miti mikubwa umeshatoka kwenye imani ya mungu
  6. mjingamimi

    Ilikuwaje dini za Afrika zikafutwa kirahisi kabisa na dini za Wazungu na Waarabu?

    Sio mawinguni hata ulipo hapo yupo. Katika viumbe ambavyo havipaswi kumkataa mungu binadamu ni mmoja wapo. Unajua umetoka na shahawa za baba Yako?
  7. mjingamimi

    Iran imerudi enzi za Ujima: Hawana Air-Force hawana Navy na hawana Mifumo ya ulinzi wa anga

    Hata jwtz isingekwisha Kwa haraka kiasi hicho yaani KUTOKA February 28 mpaka Leo majeshi ya anga na majini ya Iran yawe yameisha?
  8. mjingamimi

    Tribute to Dennis Busulwa (Ssebo), Aliiheshimu Sana TCRA na Kuiita Baba! Alitamani isiitwe Mamlaka ya Udhibiti, iitwe Mamlaka ya Ulezi wa Utangazaji!

    Nilikuwa namfatilia sana kipindi yupo Efm kwenye joto la asubuhi. Yalipoanza mapambio ya awamu ya 5 nikaacha kusikiliza redio mpaka Leo.
  9. mjingamimi

    Mbunge wa Uingereza ahoji alipo Netanyahu

    Tushakula mchele
  10. mjingamimi

    Ilikuwaje dini za Afrika zikafutwa kirahisi kabisa na dini za Wazungu na Waarabu?

    Sasa niambie mibuyu au mawe yanakufundisha nini
Back
Top Bottom