Huyo mchambuzi atakuwa ni wewe.
ila tu jiulize.
Kuna umuhimu wowote wa kuwateka,kuwaua ,kuwakamata,kuwafunga watu wa chadema?
Kuna umuhimu wowote wa kumuua mtu anayeikosoa serikali.?
ukiipata jibu utagundua HAO WACHAMBUZI VICHWANI MWAO KUNA FUNZA
baada ya ugali kumwagika.
Hao wapo kimaslahi.
Vipi katambi yeye hajaona huo ukiukwaji wa haki za binadamu na kuamua kurudi chadema?
Ni tumbo tu.wala sio huruma.
Amkeni
Wasaliti wasirudi.
Baada ya kukosa ugali huko ndo anarudi.
Toka October 29 mpaka leo ni miezi mingapi imepita?
alipewa ahadi akawa anasubiri ikageuka hewa.ndo anaamka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.