Hapo ilikuwa Simba anatakiwa alipe Dola laki Moja na ishirini na wakakubali.
Mkaingia maboya na ofa ya Dola laki 2.mkapigwa.
Unamchukua mwalimu Kwa mkopo Kwa Dola laki mbili si ujinga huo
Simba tulisoma upepo garasa hilo.
Mwanzo walitaka Dola elfu 50.walipoona Simba wanamtaka wakaongeza Dola laki Moja na ishirini.
Walipoona yanga wameenda wakaongeza Dola laki Moja na themanini.hao maboya wakaweka Dola laki mbili.sasa hamuoni kuwa wamepigwa.hayo maelezo ameyatoa farham kihamu yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.