Recent content by mjingamimi

  1. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    Ila bwana jela wa ukonga yupo huru
  2. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Muende kwanza makaburi ya kondo mkaombe msamaha. Alafu onesheni kaburi la pole pole,mdude ,soka n.k Mimi binafsi ni ngumu kuwasamehe.
  3. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Hatujamlaumu mtu.shida huyo mchezaji Hana thamani hyo ya hela tena Kwa mkopo. Simba wapo sahihi
  4. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania KERO Mkataba wetu na Kampuni ya EROLINK umeisha, tumebaini hatujaingiziwa stahiki za NSSF, tumefuatilia hadi tunachoka

    Unafanyaje kazi muda wote huo mpaka unamaliza mkataba na haujawahi kufatilia nssf? Vilio vingine uwa mnajitakia wenyewe.
  5. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Hapo ilikuwa Simba anatakiwa alipe Dola laki Moja na ishirini na wakakubali. Mkaingia maboya na ofa ya Dola laki 2.mkapigwa. Unamchukua mwalimu Kwa mkopo Kwa Dola laki mbili si ujinga huo
  6. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nyuma ya pazia: Wanayopitia Waamini wanaofika kwa Mwamposa kwenye makongamano ya kidini

    Kama walimchangia nauli ya kutoka mbeya Kuja dar na yeye atawachangia.
  7. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Simba tulisoma upepo garasa hilo. Mwanzo walitaka Dola elfu 50.walipoona Simba wanamtaka wakaongeza Dola laki Moja na ishirini. Walipoona yanga wameenda wakaongeza Dola laki Moja na themanini.hao maboya wakaweka Dola laki mbili.sasa hamuoni kuwa wamepigwa.hayo maelezo ameyatoa farham kihamu yule...
  8. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Hivi ingekuwa wewe ungekubali kumchukua mwalimu Kwa Dola laki mbili tena Kwa mkopo?
  9. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Unamchukua mwalimu Kwa Dola laki 2.hyo akili au matope. Tena Kwa mkopo.. Simba akili nyingi
  10. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Iran yatumia video ya zamani ya Kiongoozi Mkuu Mojtaba Khamenei kuaminisha umma yuko hai

    Basi keshakufa furahi
  11. mjingamimi

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi: Hii ni haki kweli? Nimelipa deni, lakini bado nakataliwa mkopo

    Nivushe Kuna laini niliacha deni la 600,000. Bado mpawa ,Bado zile za online. N.k Yaani wakiweka tu nida yangu.wanaweza wakawapigia polisi
Back
Top Bottom