Recent content by MJERUMANI MDACHI

  1. M

    Raila anahamasisha maandamano halafu yeye huyooo anapanda ndege.

    Ndivyo walivyo wapinzani almost wote wa Africa
  2. M

    Uendeshaji wa Huduma za UDART bado mbovu sana

    Huu Mardi WA mabasi yaendayo kasi bado una changamoto nyingi Sana. Unaweza ukafika kituoni ukasubiri basi kwa muda WA nusu saa nzima na wakati kwa nchi nyingine kila baada ya dk 5 basi linakuja. Halafu sasa, yupo driver mmoja and roho mbaya Sana, hebu fikiri ,anafunga milAngo haraka haraka ili...
  3. M

    Daudi Mrindoko kugombea ubunge jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya CCM

    Rafiki yangu; c lazima jimbo likichukuliwa na upinzani basi ndo utaona maendeleo!! Hiyo LINDI mjini ina mbunge wa CUF lkn hakuna hata kitu kimoja huyu jamaa amefanya!! Ametajirika tu yeye na familia yake huku akimtelekeza mke wa ujana wake na kuoa Dr.mmoja hivi!! Yaani Lindi zero zero ni sawa na...
  4. M

    Zitto awajibu CHADEMA juu ya fedha za ziara za ACT- Wazalendo mikoani

    Siyo jibu la kusomi bali ni "JIBU LA KISIASA"!!!!!
  5. M

    Dr. Asha Rose Migiro: Nani ni nani Urais CCM?

    Wewe cyo mstaarabu hata kidogo!! Unaudhihirishia umma unaokusoma jinsi ulivyo bota!! Maandishi yako yanaonesha wewe ulipata zero form four!!! Km basi ulifika!!!
  6. M

    Dr. Asha Rose Migiro: Nani ni nani Urais CCM?

    Duh; nafikiri wewe uliyeandika hii thread ndo boya tena boya la mwisho!! Huyo Dr. Unavyomchukulia wewe cvyo ambavyo wengine tunamchukulia!! Ni kwa sababu humjui ndo sababu umeamua kuandika pumba!! Nikwambie kitu; " wastara hasumbuki; wa mbili havai moja".!!!
  7. M

    CCM Mkoa wa Lindi wazindua operesheni "ziba pakacha"

    Walipigwa Mtwara Lindi hakuna hata mmoja aliyeguswa; acha majungu!!!
  8. M

    Godbless Jonathan Lema, wakumbuka hizi ahadi zako kwa wana Arusha mwaka 2010?

    Chadema siku zote hawana Sera wala majibu; wakiulizwa wamefanya nini wanaanza kuiponda CCM!! Ni shidah sana kuwa na Chama kama hiki kama Chama kikuu cha upinzani!!! Ni bahati mbaya sana !!!
  9. M

    CHADEMA kwa sasa ndio chama makini zaidi Tanzania

    Hiki c Chama ni SACCOS inayoeleweka, icyokuwa na Ilani!!!!Wajinga ndiyo wanaosema Chama bora. Tunaojua tunasema SACCOS Bora!!
  10. M

    The most powerful person in this country

    Dr.Reginald Mengi is the most powerful in Tanzania!! He possesses all mentioned criteria!!!
  11. M

    Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

    Nani kamtuma huyu ----??
  12. M

    Jakaya ulikosea kwa Magufuli, usirudie kwa Muhongo

    Nipo na wewe asilimia mia!! Hakuna hata mtu mmoja anayethibitisha makosa ya Muhongo!!
  13. M

    ESCROW ililenga Muhongo na kuangusha serikali

    Ukweli mtupu japo unauma!!
Back
Top Bottom