Viongozi wa hili Jeshi lijitazame upya waache siasa,haiwezekani chombo kama hiki kinaporwa silaha kirahisi tena watu wanatumia visu kupora SMG? Is it?inawezekana tatizo lipo wapi? Mbinu wanazozitumia kufundishia Mafunzo ya awali inawezekana zimepitwa na wakati au hazieleweki?
Nimefuatilia kwenye tovuti ya JKT na nimepitia jina moja baada ya jingine kwa wanafunzi walioteuliwa kwenda JKT OLJORO awamu ya kwanza sijaona jina la HONORATUS UISO hivyo labda anajina lingine,
Hivyo basi mtoa mada tuambie hilo jina. Au hizo taarifa umezitoa wapi? Ili uwe mzalendo na nchi...
Hiyo interview ya nafasi gani mtoa mada ambayo inafanyika kurasini?oral interview inafanyika chuo cha maafisa magereza ukonga na sijaona kitu kama hicho unachosema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.