Recent content by Mjeda

  1. Mjeda

    Godbless Lema, piga marufuku hizi pombe, banana, Kiboko, dadii, huko Arusha

    Acha walewe tukawasaidie majukumu ya chumbani
  2. Mjeda

    Tuna ma-commando wazuri, lakini je tuna Rapid Response Force?

    Mkuu RRU si kwa ajili ya ugaidi tu ni kwa ajili ya maafa ya aina nyingi. Mara nyingi mazingira na matukio ndiyo huwalazimisha kujenga vitengo hivyo. Hebu tujifunze katika maafa yaliowahi kutokea nyuma kama mafuriko, ajali ya treni na kadhalika.Baada ya matukio ripoti zimeandikwa zikiwa na...
  3. Mjeda

    Kwa wanaume tu, Tafadhali kama ni mwanamke usifungue huu uzi

    Sasa hii ni hatari, wanaume wengine tunaogopa mabomu ya kutegwa wengine wanaogopa hirizi
  4. Mjeda

    Tuna ma-commando wazuri, lakini je tuna Rapid Response Force?

    Mwalimu mzuri ni makosa yetu
  5. Mjeda

    Majina saba ya askari walio uwawa Sudan

    Kufa na kuua ni sehemu ya kazi. Poleni
  6. Mjeda

    Mwanajeshi mahakamani kwa kukutwa na Meno ya tembo ya bil. 4/-

    Huu ni wivu usio na maana. Nani kakwambia jeshini hakuna wenye elimu na ujuzi? Elimu ipi? Ujuzi upi?
  7. Mjeda

    Mwanajeshi mahakamani kwa kukutwa na Meno ya tembo ya bil. 4/-

    Siyo jeshini tu umekwenda hadi kwa viongozi wetu wote wa chama tawala na wa upinzani pia
  8. Mjeda

    Naondoka,nikionekana Mods nipigeni ban!!!

    Afadhali uende tupumzike na maneno yako ya uongo na unafki :painkiller:
  9. Mjeda

    John Magufuli: Ninautamani urais!

    Kuna mtoto wa shule ya awali (chekechea) moja mjini Mwanza naye alikuwa anautamani. Aliyasema hayo katika kipindi kimoja cha televisheni cha watoto mwaka 2009!!!!Hivyo si jambo la ajabu kutamani cheo hicho kikubwa hapa nchini mwetu :whistle:
  10. Mjeda

    Kiongozi aliyefanya mapinduzi ya kijeshi mara mbili

    mugayasida, wewe unashida sana, huyu yeye anataka habari/information/detail au vinavyofafana na hivyo, hivi ni vitu ambavyo kamwe hutaweza kuvipata kwa kufikiria. Ni lazima usome au usikie au uone ndiyo uvijue. Na sehemu sahihi sana utakayo pata ni maktaba, na ukubwa/urahisi wa maktaba ndiyo...
  11. Mjeda

    Kiongozi aliyefanya mapinduzi ya kijeshi mara mbili

    Nyanidume ishu hapa si 10+10. Ishu ni hizo 10 nini? na kwa nini + na isiwe -. Lakini kwa ishu ya 10+10 kama una kikokotozi karibu unatumia tu unasave akili itumike kwa kazi nyingine
  12. Mjeda

    Diwani wa CCM - Nduli Iringa aliyemtishia maisha Mh. Msigwa afariki dunia ghafla

    Wazo zuri sana hili, Mbwa wa jirani akimla kuku wako mkamate umuue. Hakuna shaka naye atamuua ngombe wako. Nawe utapata hasira utamuua mtoto wake. Naye atamuua mkeo. Kisha mtaanza kupigana wenyewe ili mmalizane kabisa. Mtaamuliwa kisha mtasuluhishwa. Vita itakuwa imeisha........... NANI MSHINDI...
  13. Mjeda

    Kiongozi aliyefanya mapinduzi ya kijeshi mara mbili

    Generali Benjamin Juma pamoja na Kanali Ike Dubaku wa Sangala
  14. Mjeda

    Diwani wa CCM - Nduli Iringa aliyemtishia maisha Mh. Msigwa afariki dunia ghafla

    Mkuu kwani mlikuwa na uadui? Mbona kama umefurahia kifo chake? Mkuu tofauti za itikadi za vyama haziko hivyo. Ule ni uhai wa mtu tuuheshimu hata kama tuko tofauti kwenye itikadi
  15. Mjeda

    Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

    Kamanda Gogle, Hakuna situation ambayo ni ya kudumu katika siasa. Situations zinatengenezwa na wanasiasa hivyo ni wao pia wa kuamua nani awe kimba au nani awe lulu. Leo mwanasiasa fulani naweza kuonekana lulu kesho akawa kimba au kinyume chake . Wanasiasa wenyewe ndiyo wanaoamua, wengine ni...
Back
Top Bottom