Nyanidume
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,411
- 1,153
Da sasa mtu hata kutype kwenye google ikakupa data unaona uvivu....do
Acha uvivu wewe jaribu japo kuishughulisha akili yako, ndomana hata hesab zinakugomba, 10+10= unakimbilia kikokotoo!
Da sasa mtu hata kutype kwenye google ikakupa data unaona uvivu....do
Napenda sana watu watumie akili zao na kuacha utegemezi wa google and the like lakini katika hili nitapingana na wewe!
Jambo analoulizia ni taarifa, hauwezi ukapata taarifa kwa kufikiria! Fikra zinatumika katika uvumbuzi wa kanuni mpya, utatuzi wa matatizo, uchambuzi wa taaarifa n.k! Google kwa leo ni sawa na kwenda maktaba enzi zile.
Da sasa mtu hata kutype kwenye google ikakupa data unaona uvivu....do
Huyu kwa uvivu huu inawezekana kabisa hata akiwa na mbwa huyo mbwa nae atakuwa mvivu hadi kubweka anasubiri mbwa wa jirani abweke nae anasema me too! Na huyu jamaa nae kumgombeza mbwa atasubiri hadi jirani amgombeze mbwa wake nae aseme me too! Huu ni uvivu uliokithiri
Comoro yupo kaishafanya mara 4.
Nyanidume ishu hapa si 10+10. Ishu ni hizo 10 nini? na kwa nini + na isiwe -. Lakini kwa ishu ya 10+10 kama una kikokotozi karibu unatumia tu unasave akili itumike kwa kazi nyingineAcha uvivu wewe jaribu japo kuishughulisha akili yako, ndomana hata hesab zinakugomba, 10+10= unakimbilia kikokotoo!
mugayasida, wewe unashida sana, huyu yeye anataka habari/information/detail au vinavyofafana na hivyo, hivi ni vitu ambavyo kamwe hutaweza kuvipata kwa kufikiria. Ni lazima usome au usikie au uone ndiyo uvijue. Na sehemu sahihi sana utakayo pata ni maktaba, na ukubwa/urahisi wa maktaba ndiyo utakufanya upate information zilizobora zaidi na jibu la hilo ni Google tu..... Kama ukiona kuna habari/information/detail ambayo mtu kafikiria ujue hiyo inahusu CDM au CCM au CUF au umbea wa mitaani:whistle:Kwahiyo hata ukiambiwa huyu ni baba yako wewe unaenda kumgoogle kama ndio yeye sio?Mbona watanzania mmekuwa wavivu kufikiri kiasi hicho au shule ya ugoko nini?