Recent content by Mjamaa86

  1. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Muswada wa Bunge la Marekani ni kuingilia mchakato wa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai

    Hapo Mzee mboko kapuyanga vibaya sana
  2. M

    JamiiForums Tanzania CCM inapendwa sana Tanzania kuliko CHADEMA

    Mkuu Mungu anakuona, hahahahaha
  3. M

    JamiiForums Tanzania Full Time: CAF CHAMPIONS LEAGUE FINAL | 1st leg | Mamelodi Sundowns 1-0 AS far Rabat

    Daaah kazi kweli kweli
  4. M

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Nimetembea Kilometa 80 kwenda shule

    Angetaja na kijiji alichokuwa anaishi, and probably shule bado ipo aitaje tujue huo umbali kama kweli. Ingawa hahahahahaahha nacheka lakini naogopa..
  5. M

    JamiiForums Tanzania Makonda: Serikali imeanza Mchakato wa Uraia Kwa Clatous Chama

    Kakurupuka hajui hata Sheria za soccer, Chama kashachezea National team ya kwao hivyo hawezi chezea TZ
  6. M

    JamiiForums Tanzania Eti na huyu ni Askofu! Maajabu ya dunia! Anachunga Kondoo wa MUNGU

    Pension inatetewa hapo
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulificha magendo gani chumbani kwako alafu ile unarudi nyumbani ukakuta kiko sebuleni unasubiriwa utoe majibu?

    Hahahaahah daaah umenikumbusha mbali sana
  8. M

    JamiiForums Tanzania Inasemekana kuna showroom ya magari MIKOCHENI imeungua moto je ni kweli?

    Mkuu tunakoelekea Tanzania kubaya, kauli kama hizi ndio zinazisha chuki ya wananchi kwa serikali..
  9. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Kulikuwa na mfumo 'kompyuta mpakato' wa kuchukua Takwimu za kura

    Hahahaahhaha saa 4 wameshahesabu kura wakaingiza kwenye mfumo, halafu wakazirudisha tena kwenye mabox zikiwa zimeshahesabiwa...Ndio raia wakachoma mabox Hahahahahaha
  10. M

    JamiiForums Tanzania FT: Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC | Ligi ya NBC | Aprili 8, 2026 | CCM Kirumba

    Mvua inqnyesha Arusha, alaaaa kumbe mechi aichezwi huku hahahahahahahahah
  11. M

    JamiiForums Tanzania Benson Kigaila: CHAUMMA ni chama cha kutenda, na si kelele mitandaoni

    Hahahahaha khaaa huyu Mzee mbona DEMENTIA imemuanza mapema hivi...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Samia ndiye Rais wa Kwanza Kujenga Stendi Kila Mji Tanzania Hadi Mikoa Iliyokuwa Imeshindikana kama Arusha na Mbeya

    Duuu hivi hizi sinikodi zetu, au tunafanyiwa hisani????
Back
Top Bottom