Recent content by Mjamaa86

  1. M

    Benson Kigaila: CHAUMMA ni chama cha kutenda, na si kelele mitandaoni

    Hahahahaha khaaa huyu Mzee mbona DEMENTIA imemuanza mapema hivi...
  2. M

    Huu Hapa Utapeli wa Serikali ya CCM

    Kweli kabisa, tukomae na hawa mafisiemu waliojazana mule bungeni kupitisha Sheria za ovyo, huku wao miaka mitano (5) tuu chaaap bila kuchelewa washawekewa mzigo..
  3. M

    Makamanda Feb29 tunatoka

    Hi Hiyo Feb 29 labda mwaka 2028, acha uhuni
  4. M

    Wakatoliki 'Feki' walisema wamemwandikia barua Baba Mtakatifu wa 16 ambao wote ni marehemu!!

    Njaaa mbaya sana jamani, khaaaa Petrol Station!!!!!!! Hahahahahahahah
  5. M

    Wale mliokuwa mkiwashangilia CNN kwa Taarifa yao wapigieni Simu muwaambie waje kuona Amani iliyoko Tanzania kwa Siku ya Leo

    Unataka waje kuripoti kwenye siku ya MAADHIMISHO YA SIKUKUU YA UHURU, HUKU KILA MTU KAJIFUNGIA NDANI KAMA KUKU..?? NDIO UHURU GANI HUO?? Acha masihara basi
  6. M

    PostGE2025 List: Rais Samia ni namba 4 kwa watu wenye nguvu zaidi duniani

    Hahahahaha sasa kama Mange Kimambi kamzidi ushawishi, iyo list yako itakuwa fake..
  7. M

    PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Na huu mtego serikali wakiingia kichwa kichwa ndio wanarahisisha hukumu ya Samuya aisisii
  8. M

    Polisi acheni ujinga Leo mmepita hapa mtaani mnapiga risasi hovyo watu mmechanganyikiwa?

    Asee chuga wapi wadau wapate code kuja kupiga assist chaaaap
Back
Top Bottom