Recent content by mjaja4

  1. mjaja4

    Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

    NA MNYAMWEZI HANA AKILI ZAIDI YA KUNYWA POMBE,RUSHWA NA KUBEBWA TU KATIKA ELIMU YA JUU
  2. mjaja4

    Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

    naendelea kusisitiza hili jambo sio la kweli ni uzushi mtupu !
  3. mjaja4

    Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

    Hakuna wazanzibar wanaozaliwa na kubinywa vichwa hata mmoja uo ni uzushi tu mtoa mada hana la kusema tu akatafute nauli akawatembelee wazee kijijini kwao naona ni mda mrefu sasa tangu umeondoka kuja Dar.
  4. mjaja4

    Wazanzibari acheni kuwaminya Watoto visogo

    nafkiria unaongea kwa hisia sana,kila sehem watu wanazaliwa kutokana na maumbile yao ,asilimia kubwa ya wazanzibar wanazaliwa wakiwa hawana vichogo ila kwa watu wa bara wnazaliwa wakiwa na vichogo ,zamani ukiwa ukitaka kumtofautisha mtu wa bara na zanzibar basi kwanza ulikua unaangalia vichogo...
  5. mjaja4

    CHADEMA yashauri Katiba ifuatwe kuunda Serikali, Waziri Mkuu na Mawaziri waliopo hawakuapa mbele ya Rais wa sasa

    Acha udini chuki yako utakufa nayo ,Zanzibar itabakia ile ile mpaka kiama kinasimama!
  6. mjaja4

    Biashara ya chakula cha kuku

    Kaka vipi na mimi nataka unipe dondoo za biashara ya kuku
  7. mjaja4

    GE2020 Sakata la Sheikh Ponda na "masheikh rasmi"

    mapico naheshimu sana mawazo yako kaka ila kwa hili la zanzibar kuhusu kuwatesa wakiristo kipindi cha mfungo sio kweli,kuna maeneo maalum yamewekwa kwa ajili ya watu kupata chakula ,kula hadharani kwa watu waliofunga ambao asilimia 98% ni waislam hii ni kuwadhihaki na kutoiheshim imani yao...
  8. mjaja4

    GE2020 Zitto: Wagombea wote 18 wa ACT-Wazalendo kisiwani Pemba wameenguliwa

    sio kweli,wagombea wa ACT wote walikua CUF kutakua na kasoro nyengine tu sio elimu ,alafu jamani tuwe makini tuchague kauli za kutumia ukisema wengi wana elimu za madrasa unakua unaingiza udini ndani yake madrasa ni sehemu ambayo watoto au jamii ya kiislam inaitumia kwa ajili ya kuwafahamisha...
  9. mjaja4

    Nataka nifanye biashara ya kuuza vifaranga, nitapata wapi mayai ya viranga?

    Tunaweza kupata contact mzee wa hiyo kampuni
  10. mjaja4

    Nataka nifanye biashara ya kuuza vifaranga, nitapata wapi mayai ya viranga?

    Sawa lakini shida ntawapataje wanaweza kupatikana Dar ? au sehemu nyengine yoyote ya Tanzania?
Back
Top Bottom