Recent content by Mj1

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa hasira hizi na maelekezo haya tumekwisha

    Yuko kwa siku.................:confused:
  2. M

    JamiiForums Tanzania As your physical health is important to you, so is your mental health

    Mimi huwa najiuliza sana Ustawi wa Jamii ni kwa ajili ya kushughulikia masuala ya talaka na ustawi wa watoto tu au? Maana siwasikii wakishughulikia matatizo kama haya (Sijui lakini inawezekana uelewa wangu ni mdogo)
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kaniacha licha ya kumnunulia simu ya laki sita na posho ya elfu thelathini kila wiki

    Hahahahahahha.............. pole Mkuu.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tanzanian traditional local foods

    Hivi Pilau au biriani ni ya kiasili cha Tanzania? Mwe mie nahisigi kama ni ya kihindi au ikimombasa zaidi. Ahsanteni kwa elimu.
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Mkuu......... ulishawahi kusikia usemi usemao .... Mchumia janga ....".... Pole bana we ulijua kuwa huyo ni mke wa mtu..... ulipaswa kukaa mbali au (to be a wise enough in a foolish way)... to just piga once, twice or thrice and run shaaaaa..... next time be wise joorr (In Nigerian voice).
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    "Hata nikitaka kuoa siwezi oa single mother" I do not know why I laugh to my tears this much............. Pole Mkuu
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    "acheni jamani watu tunapitia shida sana hapa Tanzania duh"................. Akhiii hii statement imenifanya nimecheka kwa nguvu sana. Dah. Pole sana Mkuu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kujifunza lugha ya Kichina?

    Taasisi ya Kichina ya UD (Confucius Institute) wanatoa mafunzo hayo.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Padre Kitima: Kanisa Katoliki ni Taasisi kubwa yenye kila mizizi hadi ngazi ya kaya na hatubahatishi

    Yaani ni shida.... hatukatai viongozi wa dini wanasaidia but ehy wanasubiri mambo yaharibike ndio watoe matamko? Hakuna namna wanawezazuia kabla ya damage?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa ashauriwe

    Yaani hii ni ishara kubwa kuwa Jiwe alikuwa amekamata kor....i za wengi. Hivi sasa anageuza kibao (Yes anatetea but why the sudden change/turning around?? Pamoja na kuwa anatetea but UAMINIFU aka TRUST ukishaivunja ONCE kuirudisha kama ilivyokuwa mwanzo ni ngumu sana. What if akatokea JIWE au...
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "May be it's my fate..." kauli kama hii ina maana gani?

    Mkuu when it comes to the matters of the hearts...........Dah aya mambo jamani. Wengi sana wanaishi kimazoea na kuishia kuugulia tu maumivu.........Bado namuulizia uyu fate.......yupo kweli?? maana kwa rates za divorce, magomvi, separations, divorced na hata kuuana inazidi kuongezeka........huyu...
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "May be it's my fate..." kauli kama hii ina maana gani?

    Mkuu dah haya masuala haya
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "May be it's my fate..." kauli kama hii ina maana gani?

    Ahsante sana Mkuu... Hapa najifunza kuwa muda ni muhimu sana katika kufahamiana, Fate what if unaangukia mikononi mwa wale wale...... Is it fate au ni maamuzi tu? Yaani mimi sielewi kama kuna kitu kinaitwa na kuaminiwa kuwa fate. Eti kila ukiingia kwenye mahusiano wewe unafall kwa wapigaji...
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "May be it's my fate..." kauli kama hii ina maana gani?

    Wakuu nawaamkua. Wakongwe naamini tunapaswa kumshukuru Mungu kwa uzima na afya. Kwa muda sikuweza kuwepo humu lakini hekima, busara na elimu ambayo niliipata humu sitoweza kuisahau kamwe. Bado JamiiForum ni kisima cha maarifa katika nyanja mbalimbali za maisha yetu. Ninakuja na swali hapa...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Ajali: Basi kampuni ya Katarama na Libanika (Tanzanite)

    Abiria wenyewe wanaweka rehani maisha yao............. 255 nahisi ni channel ya futuhi huko Mbinguni. So sad
Back
Top Bottom