Wanajamvi nawasalim,
Katika vitu nimejifunza tujitahidi sana kama vijana kufanya kazi kwa bidii huku tukiwaandalia watoto wetu mazingira mazuri ya biashara, kama umemsomesha aje kuajiriwa basi fanya juu chini tengenza connection.
Vijana wengi baada ya kumaliza vyuo na kutofanikiwa kupata ajira...
Kwa msaada hizi ni baadhi ya masomo anayosoma mfamasia akiwa chuo
1.Human Anatomy
2.Physiology
3.Biochemistry
4.Basic pharmacology ambayo MD husoma
4.clinical pharmacology
5.clinical pharmacy & clerkship
6.Pharmaceutical microbiology
7.Pharmacognosy
8.Pharmaceutical/medicinal chemistry...
Kuuliza au kuwa na uelewa mdogo sio kosa kosa ni kujifanya unajua wakati hata hujui inamaana hata umeshindwa kuuliza mfamasia anasoma mambo gani kuanzia first year hadi fourth year? Unaidhalilisha hiyo kada uliyosomea kama kweli ww ni MD
Upandikizaji wa uroto ni tiba ngeni katika nchi zetu za ukanda au bara la Afrika na kwasasa unapatikana nchini kwetu.
Uroto ni nini?
Uroto ni tishu zinazo patikana katika mifupa mirefu kwenye mwili wa binadamu na nyonga.Tishu hizo zinakuwa na seli za shina (stem cells).
Upandikizaji wa uroto ni...
Hawa jamaa kweli wanazingua ilitokea kwangu pia natoka jangwani sea breeze naenda sinza mori nafika dereva anasema 14000 wakati kabla iliandika 6000-7000 alafu baada ya kuwaambia Bolt kupitia Email wanajibu kirahisi tu wanazingua sasa kama mtu hujawa nayo hiyo mwisho wa safari
Umenena jambo mkuu inatakiwa tufike mahala tuelewe sio watu wanamtaka arudi wanamipango nae mibaya ila ni kuondoa dhana asije kuvuliwa ubunge kwa kufata sheria ionekane kaonewa watanzania unawaacha tz unaenda kuzurura ulaya kushtaki njoo nchini pambana wapigania uhuru wote hawakukumbilia kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.