MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
LISSU usirudi mpaka dokta akuambie sasa rudi.. na urudi pale wasiojulikana wakijulikanaKatika mazingira ambayo Lissu alishambuliwa, akaponea chupu chupu kupoteza maisha, mpaka sasa hakuna aliyekamatwa wala kuhojiwa na vyombo vya dola, sio busara wala hekima kwa kiongozi yoyote wa serikali kupendekeza au kuamrisha Lissu kurudi nchini. Mnamtafutia nini Lissu?
Sent using Jamii Forums mobile app