hapo sawa, ila huko kijijini huna baba mdogo ,babu mkubwa au mashangazi, ndio maana wenzetu wako mbali maana hua wakienda wanakua na kikao cha ukoo, sasa sisi wemgine watoto wa john ni wajohn watoto wa baraka sio wa john ,
Sent using Jamii Forums mobile app
ukiona mtu hataki kujenga kwao huyo ni mjinga na mpumbavu ,mm ni mgogo ,unaishi vizur mjini ukienda kwenu nyumba kama banda la mabata tubadilike
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwanini kila kona ya mji ulioendelea kidogo utakutana na watu wa kasikazin wanabiashara tayari, nenda kahama, mwanza chato, dodoma ,dar kariakoo Hawa wenzetu waliwekeza kwenye elimu elimu na biashara kuwakimbiza inatakiwa tufanye bidii sana, kuna siku nlikua kcmc hosp jamaa angu akaniambia...
Una kumbukumbu nakumbuka akamnyooshea jamaa mmoja kidole kua anamfwatilia sio mwanafunzi wa udom akidai alikua nae udsm so tumwangalie kwa umakini huyu jamaa, Ila dundulisi wa kipindi kile sio huyu wa sasa hivi anaepinga hata haya mazuri ambayo Raisi Magufuli kayafanya ndani ya miaka minne...
Jamani Alaf wanakua wazuri kabla mteja hajafanya malipo hua wanakua na maneno mazuri sana ya kumbembeleza mteja. Ila ukishalipia unaonekana takataka, Nimefanya malipo tangu tarehe mbili hadi sasa sijapata mzigo wangu wa mabati kila nikifika wananizungusha wanadai mabati yamekatwa tatizo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.