Wewe Dada Umenifanya ñicheke Kwa Sauti😂😂😂mbona mnawaonea Sana Ma bodaboda Jamani! Nadhani haujawahi KUKUTANA na walio Smart!! Kuna Kaka Alikuwa Bodaboda wangu Nzega,Alikuwa Smart Sana utafikiri mtu wa Ofisini Yaani
Ila Wenzetu Jamani ufahamu wao Huwa umefungwa Sijui 😁Yaani Wana mambo ya kitoto vile!! Hadi Huwa ninawaza Huwa Wana Akili timamu kweli?? Hapa wamefunga but wanafutumusha matusi,wengine Wanafunga machoni Mwa Watu akiwa Pekee anakula😂Sasa sijui wanafañya kwaajili ya Nani sasa.
Chuo safi kivipi? Ubabaishaji Mwingi Sana ulikuwepo Kipindi Kile! Maybe kwasasa wamekiboresha!! Madudu yalikuwa Mengi Sana!! Walitangaza wanatoa Course nyingi,kumbe walikuwa na Course mbili au Tatu zilizokuwa zimesajiliwa!!
Nimesoma Pale Mimi,Kipindi Bado hawajabadilisha Jina ! Kilikuwa Kinaitwa Musoma Utalii College. Mengi uliyoyasema ñi ya kweli! Sisi baadhi Yetu kwenye semester Yetu Tuliwafungulia Kesi na Wengine walirudishiwa Pesa zao
Wanaoshadadia wote Kwamba Msaada wa Mchele ungepokelewa ni Wapumbavu. Mna Agenda ya Siri kuhusu huo Msaada Wenu, bahati Nzuri Msomali Kawagundua!!! Halafu NGO Yenyewe ndo zile NGO zilizokuwa kwenye List ya Mwakyembe.
Unaeshadadia na kuwaabudu hao Wamarekani Wako ni Bora ungeenda huko...
Habari wakuu!
Hivi karibuni nimeanza kusikia Kelele kwenye Sikio Langu la Kushoto kama Mdudu au filimbi inalia Kwa Mbali.
Hapo awali nilihisi ni wale wadudu wanaopiga kelele ardhini, lakini nilivyofuatilia nikagundua ni Sikio La Kushoto linafanya hivyo na Wakati Mwingine lile la kulia mara...
Hii Hali hata Mimi Huwa inanitokea
👇
Hili swala la kumkumbuka mtu na kupigiwa simu au kutumiwa sms baada ya muda kidogo kwangu ni swala la kawaida sana, au kukutana na mtu ambaye nilikuwa namfikiria kichwani ni jambo la kawaida sana
Na ukimwambia mtu anakataa anasema acha uongo bana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.