Recent content by mitutwe pazi

  1. M

    Mhitimu kidato cha sita kushindwa kujaza fomu!

    kaka hivi unaelewa hata kinachoongelewa hapo juu kweli, nahisi umepitwa na mambo yanayohusu sekta ya elimu kwa mda mrefu kama si kutokuyajua kabisa!
  2. M

    Mauaji ya Polisi sasa tishio

    'vitambaa vyekundu usoni' 'hisia za kigaidi' 'kutoa ushahidi wa kikundi fulani' hayo maneno mbona mnayatoa kwa uoga fungukeni moja kwa moja tuwaelewe kwamba hayo matukio mnayahusisha na uislam, maana mnapochoka kuwaza ndo mnapoangukiaga hapo
  3. M

    Zembwela wa East Africa Radio, kama wewe ni CCM pole

    zembwela, East africa kipindi 'leo tena' mbona sielewi hapo, yaonekana we ni team mawingu pure!
  4. M

    Askofu Basileus Ezekiel Mabumba: Lowassa asipokuwa Rais 2015 mniue!

    issue ni mfumo kaka, lowassa yuko nje ya system and the system is against lowassa..tukutane october kwa matokeo ya hili picha
  5. M

    Davidi Kafulila ndani ya Kipindi cha Tuongee Asubuhi, Star TV

    Mbunge machachari wa NCCR-MAGEUZI yuko live Star TV akizungumzia habari za wanasiasa kuhama vyama katika kipindi hiki cha uchaguzi.
  6. M

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Wandugu salaaam!! Me ni mmoja kati ya waliopo kwenye mchakato wa kuomba vyuo kwa sasa. kuna kitu ambacho kinanipa mkanganyiko kidogo so naomba tusaidiane...
  7. M

    Mbeya: Utitiri wa redio ni kero nyingine

    Naikumbuka chai fm pale tukuyu ilianza kama Efm ya hapa dar ni miziki tu ful time, saahii vipi wameanza kuboronga?
  8. M

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Aisee rungwe ni very good place to be for studies, nlikuwa pale mie, ni eneo ambalo hutojutia mazingira ni mazuri, waalimu wakutosha..umepangiwa comb gan?
  9. M

    Uandikishaji wa BVR kwa mkoa wa Dar es Salaam

    Jibu litakapopatikana tujuzane wandugu maana nami nilipeleka barua pale kwa upande wa wilaya ya Temeke
  10. M

    Siasa za ulimwengu wa sasa na madhila kwa waislamu ukweli unafahamika

    kaka BIG SHOW kuna hadithi ya mtume inasema "Uislamu umekuja hali ya kuwa ni mgeni na itaondoka hali ya kuwa ni mgeni na pepo ipo kwa ajili ya wageni". Mgeni akiwa na maana kipindi ambacho mtume anaitangaza dini hii watu waliokuwa wakijinahibisha kuwa ni waislam walikuwa wakipatwa na madhira...
  11. M

    Wapi nitapata Mkanda Orijino wa kiunoni na kwa bei gani..?!

    We si ulidhani wana-jf wote wanaishi mji unaoishi wewe. Unauliza nini sasa? Nenda hapohapo ndo kwenye mikanda original.
Back
Top Bottom