Hele zile za Uhuru zilitumika kupanua hiyo barabara awamu ya kwanza ambapo ilipanuliwa pembeni kabla ya huu mradi mkubwa kuanza
Alifanya hivyo sababu ya foleni njia hii ilikua na foleni sana.
Shughuri ni kwa refa kumaliza mpira kile kipenga cha mwisho atavamiwa na timu iliyofungwa pamoja na mashabiki atachezea kipigo cha hatari [emoji23][emoji23]
Maajabu wote wanaoshabikia uenyekiti wa chadema ni ccm, wanataka waweke mtu wao pale iliwaze kuisambalatisha chadema na bahati nzuri nikwamba makamanda wameshajua mchezo wao mchafu. Chadema kwa sasa bado inamuhitaji mtu imara na jasiri ambaye ni Mbowe tu kwasasa.
Pumzika kwa amani mwalimu wangu na mtu wangu wa karibu sana kibiashara kupitia vitabu vyake vyote chini ya Nyambari Nyangwine Publishers, hakika ulikua jembe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.