Mbunge CHADEMA atishiwa maisha, kisa fomu dhidi ya Mbowe

Hii ni aibu yetu sote

Yanayoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yanasikitisha.

Pamoja na wabunge kadhaa wa Chama hicho kuparurana na kutukanana hadharani kisa suala la Mbowe kugombea tena Uenyekiti, sasa hali ya Mbunge wa Chama hicho Cecil Mwambe aliyetangaza kuchukua fomu dhidi ya Mbowe ni mbaya.

"Amelazimika kuishi kwa tahadhari kubwa. Amepanikisha wakubwa zake," kinasema chanzo cha kuaminika.

Mbunge huyo amelaumiwa hadharani na Peter Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa kuchukua fomu. Inaelezwa kuwa sasa pia amepokea vitisho kadhaa dhidi ya maisha yake.

"Ndio maana tunasema hiki chama na kwa ujumla upinzani mzima hapa nchini haujajiandaa kuishi katika zama za demokrasia. Amin nawaambieni ni heri CCM inayojibadilisha kila siku kuliko wapinzani wanaodhalilika kila siku kwa kutokiwa tayari kwa mabadiliko," anasema Mchungaji Munga Keason wa Kanisa la Peace and Gospel Fellowship.

Wakati Mwambe akiwa anaishi uhamishoni, mwenzake anayedaiwa pia kwamba atachukua fomu ya Uenyekiti, Mzee Sumaye, amekipata kinachomstahili.

Ameshindwa na kivuli chake. Yani kagombea uenyekiti Kanda ya Pwani akiwa yeye tu lakini wapigakura wamekichagua kivuli chake kwa kura 48 halafu yeye halisi kapata kura 28. Kivuli kimeshinda!

"Na kivuli hicho ni Meya wa Ubungo Chadema ambaye aliongoza fitna ya kumwangusha Sumaye kisa anataka Mtu wake yaani Mbowe apite bila kupingwa Uenyekiti licha ya kuwa ameishi zaidi ya mida wa kikatiba."
Nyie ni zaidi ya Wachawi
 
Acha porojo, chadema sio ccm, wewe utakuwa umetumwa, i think your way of thinking is too shallow to comprehend how politics works, if anyone has been threatened by mbowe, why not report to police and ccmpolisi will be more than happy to arrest and charge mbowe in court, for thats their goal everyday, stop having fermented porrige in you instead of having brains pls
Bora na wewe mkuu na sisi tumeelewapo!!

Maana wakina kiranga waandika magumu mno!
 
Halafu utaona makamanda uchwara wanaanza kujitutumua na kizungu chao cha ugoko, duh. Yaani alimradi tu waonekane eti ndio wana akili. Kazi ipo mwaka huu.

Inakuuma sana watu wakimwagika kwa lugha ngeni? Lini mtaacha kuwa wapumbavufor Gods sake
 
Andika tu kwa kiswahili utaeleweka. Hapo hata mie ambe sio linguistician nikisahihisha unapata 10% tu. Hizi diploma za kupewa ni shida sana aisee.
Sasa ona wewe umeandika kaneno kamoja tu kakizungu mimi kamenishinda lakini yeye kaandika maneno mengi ya kizungu chepesi walau ameeleweka!
 
Siwataki ccm, siwataki chadema.......nimeamua kuwa bize na kujitafutia ugali wangu,,,,hao wote wapuuzi...wachumia tumbo
 
Hii ni aibu yetu sote

Yanayoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yanasikitisha.

Pamoja na wabunge kadhaa wa Chama hicho kuparurana na kutukanana hadharani kisa suala la Mbowe kugombea tena Uenyekiti, sasa hali ya Mbunge wa Chama hicho Cecil Mwambe aliyetangaza kuchukua fomu dhidi ya Mbowe ni mbaya.

"Amelazimika kuishi kwa tahadhari kubwa. Amepanikisha wakubwa zake," kinasema chanzo cha kuaminika.

Mbunge huyo amelaumiwa hadharani na Peter Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa kuchukua fomu. Inaelezwa kuwa sasa pia amepokea vitisho kadhaa dhidi ya maisha yake.

"Ndio maana tunasema hiki chama na kwa ujumla upinzani mzima hapa nchini haujajiandaa kuishi katika zama za demokrasia. Amin nawaambieni ni heri CCM inayojibadilisha kila siku kuliko wapinzani wanaodhalilika kila siku kwa kutokiwa tayari kwa mabadiliko," anasema Mchungaji Munga Keason wa Kanisa la Peace and Gospel Fellowship.

Wakati Mwambe akiwa anaishi uhamishoni, mwenzake anayedaiwa pia kwamba atachukua fomu ya Uenyekiti, Mzee Sumaye, amekipata kinachomstahili.

Ameshindwa na kivuli chake. Yani kagombea uenyekiti Kanda ya Pwani akiwa yeye tu lakini wapigakura wamekichagua kivuli chake kwa kura 48 halafu yeye halisi kapata kura 28. Kivuli kimeshinda!

"Na kivuli hicho ni Meya wa Ubungo Chadema ambaye aliongoza fitna ya kumwangusha Sumaye kisa anataka Mtu wake yaani Mbowe apite bila kupingwa Uenyekiti licha ya kuwa ameishi zaidi ya mida wa kikatiba."
CCM wampe ulinzi si wana kila kitu?
 
Acha porojo, chadema sio ccm, wewe utakuwa umetumwa, i think your way of thinking is too shallow to comprehend how politics works, if anyone has been threatened by mbowe, why not report to police and ccmpolisi will be more than happy to arrest and charge mbowe in court, for thats their goal everyday, stop having fermented porrige in you instead of having brains pls
Shida moja ya chama chetu na wanachama wake wengi ni kujiona wakamilifu kwenye kila wanalofanya wakati ukweli ni kwamba kuna baadhi ya maeneo chadema nao ni kama maandazi.
 
Wachungaji wa sasa sio watu wa kuwaamini sana. Bora angesema mwanasiasa wa CCM kuliko mchungaji.
 
Hii ni aibu yetu sote

Yanayoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yanasikitisha.

Pamoja na wabunge kadhaa wa Chama hicho kuparurana na kutukanana hadharani kisa suala la Mbowe kugombea tena Uenyekiti, sasa hali ya Mbunge wa Chama hicho Cecil Mwambe aliyetangaza kuchukua fomu dhidi ya Mbowe ni mbaya.

"Amelazimika kuishi kwa tahadhari kubwa. Amepanikisha wakubwa zake," kinasema chanzo cha kuaminika.

Mbunge huyo amelaumiwa hadharani na Peter Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa kuchukua fomu. Inaelezwa kuwa sasa pia amepokea vitisho kadhaa dhidi ya maisha yake.

"Ndio maana tunasema hiki chama na kwa ujumla upinzani mzima hapa nchini haujajiandaa kuishi katika zama za demokrasia. Amin nawaambieni ni heri CCM inayojibadilisha kila siku kuliko wapinzani wanaodhalilika kila siku kwa kutokiwa tayari kwa mabadiliko," anasema Mchungaji Munga Keason wa Kanisa la Peace and Gospel Fellowship.

Wakati Mwambe akiwa anaishi uhamishoni, mwenzake anayedaiwa pia kwamba atachukua fomu ya Uenyekiti, Mzee Sumaye, amekipata kinachomstahili.

Ameshindwa na kivuli chake. Yani kagombea uenyekiti Kanda ya Pwani akiwa yeye tu lakini wapigakura wamekichagua kivuli chake kwa kura 48 halafu yeye halisi kapata kura 28. Kivuli kimeshinda!

"Na kivuli hicho ni Meya wa Ubungo Chadema ambaye aliongoza fitna ya kumwangusha Sumaye kisa anataka Mtu wake yaani Mbowe apite bila kupingwa Uenyekiti licha ya kuwa ameishi zaidi ya mida wa kikatiba."
Hakuna upinzan kipind hiki.........! CCM mbele kwa mbele
 
Maajabu wote wanaoshabikia uenyekiti wa chadema ni ccm, wanataka waweke mtu wao pale iliwaze kuisambalatisha chadema na bahati nzuri nikwamba makamanda wameshajua mchezo wao mchafu. Chadema kwa sasa bado inamuhitaji mtu imara na jasiri ambaye ni Mbowe tu kwasasa.
 
Hii ni aibu yetu sote

Yanayoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yanasikitisha.

Pamoja na wabunge kadhaa wa Chama hicho kuparurana na kutukanana hadharani kisa suala la Mbowe kugombea tena Uenyekiti, sasa hali ya Mbunge wa Chama hicho Cecil Mwambe aliyetangaza kuchukua fomu dhidi ya Mbowe ni mbaya.

"Amelazimika kuishi kwa tahadhari kubwa. Amepanikisha wakubwa zake," kinasema chanzo cha kuaminika.

Mbunge huyo amelaumiwa hadharani na Peter Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa kuchukua fomu. Inaelezwa kuwa sasa pia amepokea vitisho kadhaa dhidi ya maisha yake.

"Ndio maana tunasema hiki chama na kwa ujumla upinzani mzima hapa nchini haujajiandaa kuishi katika zama za demokrasia. Amin nawaambieni ni heri CCM inayojibadilisha kila siku kuliko wapinzani wanaodhalilika kila siku kwa kutokiwa tayari kwa mabadiliko," anasema Mchungaji Munga Keason wa Kanisa la Peace and Gospel Fellowship.

Wakati Mwambe akiwa anaishi uhamishoni, mwenzake anayedaiwa pia kwamba atachukua fomu ya Uenyekiti, Mzee Sumaye, amekipata kinachomstahili.

Ameshindwa na kivuli chake. Yani kagombea uenyekiti Kanda ya Pwani akiwa yeye tu lakini wapigakura wamekichagua kivuli chake kwa kura 48 halafu yeye halisi kapata kura 28. Kivuli kimeshinda!

"Na kivuli hicho ni Meya wa Ubungo Chadema ambaye aliongoza fitna ya kumwangusha Sumaye kisa anataka Mtu wake yaani Mbowe apite bila kupingwa Uenyekiti licha ya kuwa ameishi zaidi ya mida wa kikatiba."
We kibwengu wa Lumumba acha unafiki .Toa takataka zako. Hofu yangu msije mkatundulissu alaf msingizie Mbowe mana nyie viibilisi hamuoni shida kuua just for political sentiments
 
Andika tu kwa kiswahili utaeleweka. Hapo hata mie ambe sio linguistician nikisahihisha unapata 10% tu. Hizi diploma za kupewa ni shida sana aisee.
Kweli wew ńyani kundule...linguistician ndo nn kwēnye lugha ya malkia?
 
Hii ni aibu yetu sote

Yanayoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yanasikitisha.

Pamoja na wabunge kadhaa wa Chama hicho kuparurana na kutukanana hadharani kisa suala la Mbowe kugombea tena Uenyekiti, sasa hali ya Mbunge wa Chama hicho Cecil Mwambe aliyetangaza kuchukua fomu dhidi ya Mbowe ni mbaya.

"Amelazimika kuishi kwa tahadhari kubwa. Amepanikisha wakubwa zake," kinasema chanzo cha kuaminika.

Mbunge huyo amelaumiwa hadharani na Peter Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa kuchukua fomu. Inaelezwa kuwa sasa pia amepokea vitisho kadhaa dhidi ya maisha yake.

"Ndio maana tunasema hiki chama na kwa ujumla upinzani mzima hapa nchini haujajiandaa kuishi katika zama za demokrasia. Amin nawaambieni ni heri CCM inayojibadilisha kila siku kuliko wapinzani wanaodhalilika kila siku kwa kutokiwa tayari kwa mabadiliko," anasema Mchungaji Munga Keason wa Kanisa la Peace and Gospel Fellowship.

Wakati Mwambe akiwa anaishi uhamishoni, mwenzake anayedaiwa pia kwamba atachukua fomu ya Uenyekiti, Mzee Sumaye, amekipata kinachomstahili.

Ameshindwa na kivuli chake. Yani kagombea uenyekiti Kanda ya Pwani akiwa yeye tu lakini wapigakura wamekichagua kivuli chake kwa kura 48 halafu yeye halisi kapata kura 28. Kivuli kimeshinda!

"Na kivuli hicho ni Meya wa Ubungo Chadema ambaye aliongoza fitna ya kumwangusha Sumaye kisa anataka Mtu wake yaani Mbowe apite bila kupingwa Uenyekiti licha ya kuwa ameishi zaidi ya mida wa kikatiba."
Kenge maji
 
Back
Top Bottom