Umeuliza swali zuri ila naona watu wanafanya masihara kwenye majibu.
Kwa maono yangu nafikiri serikali ingefanya chini ya vituo vya mabasi ya mwendokasi kua mahandaki sababu ya aina ya ujenzi wake ulivyo, pia hata hivyo inawezekana chini ya vituo vya mabasi ya mwendokasi ikawa ni mahandaki...
Hongera sana ndugu kwa hayo maneno uliyoandika.
Nimefurahi kuona bado kuna watanzania wenye uelewa wa ukweli kuhusu dunia inavyoenda na propaganda zake.
Kwa kuongezea ni kwamba wale wayahudi feki pale Israel sio wayahudi halisi, wale wanafahamika kama ashkanazi Jews ambao ni sinagogi la...
Umezunguka sana na maelezo yako ila kwa kifupi ili mtu kufanikiwa au kutofanikiwa zipo njia mbili tu ni
Ufate nguvu ya Nuru au giza.
Njia ya Nuru ina sheria zake pia njia ya giza ina taratibu zake.
Lakini pia ukifata njia ya Nuru au giza pia kuna sheria ndogo nyingi sana zakufuata ili mtu...
Kinachosababisha hiyo hali ya mwembe kutokuzaa ni aina ya wadudu wanafanana na sisimizi ambao mwembe ukianza kutoa maua hao wadudu wanaenda kula maua hivyo kupelekea mwembe kushindwa kuzaa.
Jambo la kufanya ni kuhakikisha unapiga dawa katika miembe yako kila miembe ikikaribia kutoa maua au...
Document unazotakiwa kuwa nazo ni Kitambulisho Chako chenye jina linalofanana na Document atakazokutumia, TIN number na pesa za kutolea mzigo bandarini kwa malipo ya Port charge, wharfage, shipping line, Agent fee n.k
Document atakazotakiwa kukutumia ndugu yako ni Bill of Lading, Invoice na...
Siwezi kukucheki ndugu sababu wazo lako haliwezi kutekelezeka kwangu,
Pia kumbuka hiyo ni hiari, hivyo hakuna kitu cha ajabu au kushangaza ninapotoa mtazamo wangu.
Hili wazo jipya ndugu, nimetafakari sana na kufurahi kwa ujasiri wako.
Ila kwa kifupi haitowezekana kwa sababu tayari mtoto atakua damu yangu hivyo inaweza kuleta sintofahamu baada ya miaka.
Ninaweza kukupa wazo kwamba kama una sifa nilizotaja, fanya kwanza mpango wangu halafu badae mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.