Tanzania tuna mahandaki (tunnel) na ving'ora kwaajili ya kujikinga endapo tutashambuliwa kwa njia ya anga?

Tanzania tuna mahandaki (tunnel) na ving'ora kwaajili ya kujikinga endapo tutashambuliwa kwa njia ya anga?

Kama tunavoshudia hali ya amani duniani inazidi kuwa tete siku maana kila mtu ni kambale kwahyo muda wowote kunaweza kutokea vita hapa duniani, je serikali yetu pendwa imejiandaaje kutulinda raia wake ndo swali kubwa najiuliza hapa, tuna air defense system ngapi, je vingo'ra vipo kama ishara ya kutumbia tuingie kujfcha kwenye mahandaki au tunaishi kama hakuna litakalo tokea mbele kwenye hii dunia ya kila mtu mbabe?
Subiri kwanza bado tuko busy kununua magari ya washa washa kwa ajili ya kuzuia maandamano ya Chadema!
 
Kama tunavoshudia hali ya amani duniani inazidi kuwa tete siku maana kila mtu ni kambale kwahyo muda wowote kunaweza kutokea vita hapa duniani, je serikali yetu pendwa imejiandaaje kutulinda raia wake ndo swali kubwa najiuliza hapa, tuna air defense system ngapi, je vingo'ra vipo kama ishara ya kutumbia tuingie kujfcha kwenye mahandaki au tunaishi kama hakuna litakalo tokea mbele kwenye hii dunia ya kila mtu mbabe?
Hatujamalizana na madawati na matundu ya vyoo unataka Serikali ianze kuchimba mahandaki, kwani tunajipanga kupigana na nani?.
 
Tuna ugomvi na nani ?? ......sisi ugomvi wetu ni wanasiasa tu waliochukua masilahi yetu na kujipa umungu mtu basi wala sio kingine sasa ujue king'ora kikilia ni kwamba watu watakuwa wamestuka kutoka usingizini wako barabarani kwa maandamano ya kutoa hawa wapumbavu madarakani...........maana mpaka jeshi liko kimya .....kuna vitu viko hovyo hovyo mpaka watu wanakuamulia kazi ikiisha kiinua mgongo hawakupi chote eti kwamba utatumia vibaya hivi kweli?? Kazi nifanye mwenyewe useme nitatumia vibaya unadinywa wewe na majini..........yenyewe yakimaliza utumishi wa umma yanakwala kira kitu na yalivyo majizi yanakuwa yameshiba kira sehemu.......huwezi kuta yenyewe yanaacha mzigo huko kwenye pensheni ......kujiwekea mazingira mazuri ya kustaafia.......na kupata huduma zote mpaka kifo........sasa mwisho watakuja na hii mpaka house girl wa kiongozi na yeye atataka kupewa mafao maana si amelihudumia jizi miaka yote kunyoosha masuti na kulipigia pasi lije smart ofisini
Mkuu mbona hii IPO, House boy na House girl wa Rais, makamu wa Rais, waziri mkuu yote yanalamba pensheni mkuu.
 
Kama tunavoshudia hali ya amani duniani inazidi kuwa tete siku maana kila mtu ni kambale kwahyo muda wowote kunaweza kutokea vita hapa duniani, je serikali yetu pendwa imejiandaaje kutulinda raia wake ndo swali kubwa najiuliza hapa, tuna air defense system ngapi, je vingo'ra vipo kama ishara ya kutumbia tuingie kujfcha kwenye mahandaki au tunaishi kama hakuna litakalo tokea mbele kwenye hii dunia ya kila mtu mbabe?
Utuulize Sie tuliokuwepo kipindi Cha Vita vya Kagera na tukisoma shule za Kagera. Kulikuwa na mahandaki kila mahali; nyumbani, shuleni, hospitali hadi omubigata! Ahahahahaha!
 
Kama tunavoshudia hali ya amani duniani inazidi kuwa tete siku maana kila mtu ni kambale kwahyo muda wowote kunaweza kutokea vita hapa duniani, je serikali yetu pendwa imejiandaaje kutulinda raia wake ndo swali kubwa najiuliza hapa, tuna air defense system ngapi, je vingo'ra vipo kama ishara ya kutumbia tuingie kujfcha kwenye mahandaki au tunaishi kama hakuna litakalo tokea mbele kwenye hii dunia ya kila mtu mbabe?
Aina ya maadui wanaotuzunguka sio wa vita kama hivyo unavyoona huko kwa wenzetu. Sisi jeshi letu ni la ulinzi, vita vyetu vya mpakani na msituni. Chukulia mfano vita ya Kagera na Mgogoro wa ziwa Nyasa na Malawi. Hao Israel miaka nenda rudi wana misuguano na hao wanaopigana nao, kwahiyo wamejiandaa tangu enzi na hizi attacks.
 
Kuna bajeti za V8 tu mengineyo tutajua siku ya casualities
 
Labda tujifiche nyuma ya mishangazi, huwa ina minyama nyama na miili mikubwa.
 
Kama tunavoshudia hali ya amani duniani inazidi kuwa tete siku maana kila mtu ni kambale kwahyo muda wowote kunaweza kutokea vita hapa duniani, je serikali yetu pendwa imejiandaaje kutulinda raia wake ndo swali kubwa najiuliza hapa, tuna air defense system ngapi, je vingo'ra vipo kama ishara ya kutumbia tuingie kujfcha kwenye mahandaki au tunaishi kama hakuna litakalo tokea mbele kwenye hii dunia ya kila mtu mbabe?
Kama umeenda JKT jibu unalo. Pia, shambulizi haliwezi kutokea ghafla endapo TISS wanafanya kazi yao vizuri kabisa.
 
Kama tunavoshudia hali ya amani duniani inazidi kuwa tete siku maana kila mtu ni kambale kwahyo muda wowote kunaweza kutokea vita hapa duniani, je serikali yetu pendwa imejiandaaje kutulinda raia wake ndo swali kubwa najiuliza hapa, tuna air defense system ngapi, je vingo'ra vipo kama ishara ya kutumbia tuingie kujfcha kwenye mahandaki au tunaishi kama hakuna litakalo tokea mbele kwenye hii dunia ya kila mtu mbabe?
Umeuliza swali zuri ila naona watu wanafanya masihara kwenye majibu.

Kwa maono yangu nafikiri serikali ingefanya chini ya vituo vya mabasi ya mwendokasi kua mahandaki sababu ya aina ya ujenzi wake ulivyo, pia hata hivyo inawezekana chini ya vituo vya mabasi ya mwendokasi ikawa ni mahandaki sababu yale mashimo ni marefu yanapoanza kuchimbwa kwa ajili ya ujenzi ila kipindi cha ujenzi yanapigwa zege juu bila kufukiwa na kifusi hali inayopelekea kuacha nafasi kubwa ndani kisha baada ya hapo kunaachwa nafasi ndogo kama mlango ambapo juu yake kinakaa kibanda cha mtu anaetoa tiketi.
 
Hatuhitaji maandaki sisi ,kwani kina mkwawa walihitaji hayo
 
Tushambuliwe na nani mkuu, maisha yetu ni shambulio tosha kabisa.

Muulize ameona wapi kwa
Maskini kuna ugomvi wa mali.. qote majiran zetu pangu pa kavu kama sie.. nan wa kuanza kumrushia mwenzie midege. Wakat viongoz wako busy kupiga pesa na kuzificha nje
 
Hata US hayapo. Israel ni sawa na kwenda kufuga mbuzi serengeti kwenye territory ya Simba. Inabidi ujipange
 
Muulize ameona wapi kwa
Maskini kuna ugomvi wa mali.. qote majiran zetu pangu pa kavu kama sie.. nan wa kuanza kumrushia mwenzie midege. Wakat viongoz wako busy kupiga pesa na kuzificha nje
Hakika mkuu, sisi tugombane na umaskini wetu tu inatosha tu. Kwanza umaskini wenyewe tu ushatushinda.
 
Kama tunavoshudia hali ya amani duniani inazidi kuwa tete siku maana kila mtu ni kambale kwahyo muda wowote kunaweza kutokea vita hapa duniani.

Je, serikali yetu pendwa imejiandaaje kutulinda raia wake ndo swali kubwa najiuliza hapa, tuna air defense system ngapi.

Je, vingo'ra vipo kama ishara ya kutumbia tuingie kujfcha kwenye mahandaki au tunaishi kama hakuna litakalo tokea mbele kwenye hii dunia ya kila mtu mbabe?
Ukizingatia kuna awamu fulani tulitishiwa kupigwa na watu wembamba
 
Kama tunavoshudia hali ya amani duniani inazidi kuwa tete siku maana kila mtu ni kambale kwahyo muda wowote kunaweza kutokea vita hapa duniani.

Je, serikali yetu pendwa imejiandaaje kutulinda raia wake ndo swali kubwa najiuliza hapa, tuna air defense system ngapi.

Je, vingo'ra vipo kama ishara ya kutumbia tuingie kujfcha kwenye mahandaki au tunaishi kama hakuna litakalo tokea mbele kwenye hii dunia ya kila mtu mbabe?


Kwanza viongozi wanayajua kweli? Wanafikiri ni mashimo kama ya choo. Andaki analotumia raia ni tofauti na andaki analotumia askari. Andaki la raia linapaswa kuwa zuri, lenye maji na matunda makavu/nafaka kavu hili raia wakiingia wenyewe maji na kula vitu kama hivyo hili wasije kufa. Njia nyingine ni raia wenyewe kujiandaa na hilo. Je serikali inewahi kutoa elimu angalau watu wajenge maandaki majumbani mwao?
 
Vyoo tu vya wanafunzi shule za misingi na sekondari tunajengewe na wazungu itawezekana vipi kujenga mahandaki ambayo gharama yake ni mara kumi ya vyoo?
 
Back
Top Bottom