Recent content by mitandaoni

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tunabuni na kushona Nguo tofauti tofauti, za kike na za watoto

    KALIKWENDA DESIGNS Tunabuni na kushona Nguo tofauti tofauti, za kike na za watoto, Toa oda tunakushonea kwa bei nafuu kabisa. tunapatikana Dar es salaam- Ubungo. tupigie kupitia namba hii: 0655 246 867, pia unaweza kutembelea tovuti yetu kuona nguo mbali mbali: Mitandaoni
  2. M

    JamiiForums Tanzania Picha hii inamaana Kubwa

    Mugabe akiwa kizuizi cha nyumbani kwake, akiwa anafurahi jambo na mkuu wa majeshi Constantino Chiwenga (anaeongoza mapinduzi ya kijeshi nchin humo -Zimbabwe). Kweli haya na mapinduzi ya aina yake....comrade kwa comrade wanajadiliana juu ya mambo ya Nchi, kwa hali ilivyo Robert Mugabe bado ni...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe na Wema Sepetu ndani ya penzi zito

    kama ni kweli....mhhhh hii kali
  4. M

    JamiiForums Tanzania Trafiki siyo kazi yake kukamata Bima na Vehicle, wanaingilia majukumu ya wengine una haki ya kukataa

    Jamani jamaniii, familia bado inawapenda, usijaribu kujibizana na polisi kisa hauna bima au leseni ya gari, utakuja kuishia mahakamani ukapelekwa segerea. kazi ya polisi ni kusimamia sheria, usipo kuwa na bima au lesini anakukamata unachagua moja faini au mahakamani..kazi kwenu.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wale ambao bado hawajajenga: Marufuku kujenga katika maeneo yasiyopimwa

    KATIKA kukabiliana na ujenzi holela nchini, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameziagiza halmashauri zote nchini kupiga marufuku wananchi kujenga katika maeneo yasiyopimwa. Pamoja na hayo, Waziri huyo amewahakikishia Watanzania kuwa wizara yake itaendelea kutekeleza...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Serikali yakanusha kununua ndege “Kimeo” aina Boeing & 787-Terrible teen

    Wazo zuri wenyewe wamekusikia
  7. M

    JamiiForums Tanzania Serikali yakanusha kununua ndege “Kimeo” aina Boeing & 787-Terrible teen

    Serikali yakanusha kununua ndege “Kimeo” aina Boeing & 787-Terrible teen Serikali kupitia Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Dr. Mbarawa, imesema sio kweli kwamba ndege iliyonunuliwa na serikali ni miongoni mwa ndege ya terrible teens ambazo zimekosa soka, kutokana na kuwa na uzito...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Simba SC yapokwa pointi 3 dhidi ya Kagera Sukari

    Rungu la TFF latua Simba FC, yapokonywa Point 3 za Kagera Sugar BY NA MWANDISHI WETU · APRIL 24, 2017 KAMATI ya Katiba Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imeipokonya Simba ushindi wa mezani waliopewa baada ya kufungwa na Kagera Sugar 2-1 Aprili 2, mwaka huu...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna cha Ukabila Wala Upendeleo kwenye Suala la Pointi Za Kagera Sugar

    ipo hiv, kuna mjumbe wa kamati ya ligi kuu alikuwa anajua kuwa fakhi ana kadi 3 z Njano, alikuwa amekaa kimya tu hata hakujishughulisha kawapa taharifa kagera sugar wala wajumbe wengine wa tff. baada ya simba kufungwa akachukua faili akampa Kaburu kwa njia ya panya. Ndio maana timu nyingine...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Sasa ni dhahiri kwamba Nape Nnauye anaumwa na anahitaji msaada wa daktari

    ulikuwa BAN uliandikaje mkuu...pole sana walikuwa wanataka maoni ya kumfagilia tu
Back
Top Bottom