mitandaoni
Member
- Mar 25, 2017
- 10
- 25
Mugabe akiwa kizuizi cha nyumbani kwake, akiwa anafurahi jambo na mkuu wa majeshi Constantino Chiwenga (anaeongoza mapinduzi ya kijeshi nchin humo -Zimbabwe).
Kweli haya na mapinduzi ya aina yake....comrade kwa comrade wanajadiliana juu ya mambo ya Nchi, kwa hali ilivyo Robert Mugabe bado ni Rais, inasemekana General Chiwenga bado anapigia Saluti Rais Robert MUgabe.
Hongereni Jeshi Zimbabwe kwa nidhamu iliyotukuka...