Kaka hata kama ni kweli kwanini huyo alokupa habari hakukwambia mwanzo mpk amesubir kaona maisha yenu n ya furaha ndo anatia kidudu mtu .pengn si kweli kaa n mkeo myazungumze huenda si kweli. Alf usipend kusiliza maneno ya watu
Mh! Pole sana kaka unatakiwa ujiatizame wapi uliteleza ili uyaweke mambo yako km yalivyokuwa. Bt kuhusu kuachana na mkeo hutakiwi kufanya maamuzi ya haraka kaa naye tena mzungumze natumai mambo yataenda sawa.pole sana kwa kuumwa kina uf,,,,, hao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.