Recent content by missysasha

  1. missysasha

    Maskini mke wangu kumbe ulitoa mimba? Kwanini sasa hukunambia nifanye maamuzi?

    Hiyo tayar ni historia so look ahead forget the past althoug it
  2. missysasha

    Maskini mke wangu kumbe ulitoa mimba? Kwanini sasa hukunambia nifanye maamuzi?

    Kaka hata kama ni kweli kwanini huyo alokupa habari hakukwambia mwanzo mpk amesubir kaona maisha yenu n ya furaha ndo anatia kidudu mtu .pengn si kweli kaa n mkeo myazungumze huenda si kweli. Alf usipend kusiliza maneno ya watu
  3. missysasha

    Leo nimeachwa,na sababu ni hii, nishaurini

    Usifanye maamuzi ya haraka mpe nafasi hasira ziishe alafu mtazungumza
  4. missysasha

    Naomba ushauri jamani

    Mh! Pole sana kaka unatakiwa ujiatizame wapi uliteleza ili uyaweke mambo yako km yalivyokuwa. Bt kuhusu kuachana na mkeo hutakiwi kufanya maamuzi ya haraka kaa naye tena mzungumze natumai mambo yataenda sawa.pole sana kwa kuumwa kina uf,,,,, hao
  5. missysasha

    Kesi ya sheikh ilunga eti ushahidi haujakamilika

    Mimi labda sielewi ni nini tafsiri ya UGAIDI?
  6. missysasha

    kwa mwanamke mwenye sifa, ajitokeze nimchukue

    Kwanini unawabania wa mikoani
Back
Top Bottom