Leo nimeachwa,na sababu ni hii, nishaurini

Leo nimeachwa,na sababu ni hii, nishaurini

Ushirombo

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
3,558
Reaction score
2,714
mimi nina mchumba, tuko in relation for 2 years,jana usiku alikuja kwangu mimi kanikuta nafanya usafi wa chumbani,nikaiona novel ambayo niliipenda sana,nilipokua naiangalia its pages nikakuta niliandikaga maneno fulan ya kumsifu demu wangu wa zamani kama vile i love you so much dear,i will never hurt you, and so on,hayo maneno niliyaandika nikiwa bado hatujawa na relation na huyu,basi nikachukua pen nikawa nayafuta,yeye alipoona akanyakua kitabu akayasoma,from there akakasirika acha chanachana kitabu na kukitupia ndan ya ndoo ya maji,na akasema ameniacha,anaogopa eti kama niliweza kuwa na mtu nikamthamini kiasi kile then tumeachana,kumbe hata yeye tutaachana tu,so bora atimke mapema,Jaman nifanye nini? Na nilikua karibuni kutangaza ndoa,am so confused.Ushauri wenu plz
 
Usifanye uamuzi wa papara mvumilie hadi hasira zake zishuke, zikishashuka ndo uanze kubembeleza nina uhakika atakuelewa sababu mmetoka mbali,

pole sana mkuu
 
Kwanza pole sana mkuu kwa lililokutokea ila sikilizia kama wiki kama ataonesha kukusamehe au kukuacha.Kama wako ni wako tu.
 
Hahahaa! Haina hata ya kucomplicate kwa mambo kama haya mpe go ahead ili siku nyingne akome kujaribu kujamba wakat anaharisha......
Najua anakupima kama unampenda kweli

like that kiongoz
 
Hahahaa! Haina hata ya kucomplicate kwa mambo kama haya mpe go ahead ili siku nyingne akome kujaribu kujamba wakat anaharisha......
Najua anakupima kama unampenda kweli

Unajua mkuu unazidi kunichekesha,naona leo umewaamulia waakinaEva.
 
hizo hasira za muda tu...

zikiisha atakua poa
 
unajua unaweza kumuacha,lakin je utaacha wangapi? Yaani mi namheshimu sana,mpaka nawaza kumtafutia kamchepuko,
 
Tulia kimya jifanye kauzu, usimpigie sim wala nini, najua ni ngumu hasa kama unampenda sana, lkn itasaidia ye mwenyewe ataludi kuomba msamaha.
 
Please usimuache. muache kwanza hasira zake zipungue then uongee naye vizuri, hope atakuelewa tu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Alikua anatafuta siku zote sababui ya kuachana, ameipata, she was not meant to be........................take courage move on
 
Mkuu ni stori ya kweli kabisa,nimetoka kuongea na Ushirombo muda si mrefu.Kanihabarisha kinagaubaga kilichotokea.

Okay kama ni kweli basi asipanick...amwache huyu mchumba apoe kisha amweleweshe tena..kama aki insist basi ajue alikuwa anamtafutia sababu tu ya kumwacha hakuwa anampenda kivile...angekuwa mwelewa angeshaelewa toka mwanzoni.
 
Eh mwambie bi dada ajiamini,..everybody has a past
 
Okay kama ni kweli basi asipanick...amwache huyu mchumba apoe kisha amweleweshe tena..kama aki insist basi ajue alikuwa anamtafutia sababu tu ya kumwacha hakuwa anampenda kivile...angekuwa mweleywa angeshaelewa toka mwanzoni.
Wanaume Mna kazi sana,yaani msg ulimuandikia X tangu enzi za mtume Nuhu ndio isababishe muachane!!!
Mie ningemruhusu tu!
 
Back
Top Bottom