Moja ya vitu ambavyo Hayati Magufuli alikuwa anapigania ni kuufanya huu mtandao uwe compitent na mitandao mingine ya mabeberu, hii yote ilikuwa ni kutaka kumsaidia mwananchi.
Ila leo hii huu mtandao hata sijui wanafanya nini, wafanyakazi mnakula tu kodi zetu ila hata kusikika tena hamna...
Fuata huu ushauri kama kweli una akilli. Mzazi ni mzazi aisee huyo sio mke mwenza anakuonea wivu.
"Bangi + pombe = hamna familia ya hivo"
Mtafute huyo mke wa kwanza ana mengi ya kukushauri. Ila mama ya
Pole sana wale ambao hawajaoa bado ushauri kabla ya ndoa ufanyie sana kazi utajuta. Wewe mama mzazi alikupa ushauri mweupe sana. Upendo uliooneshwa ni kwaajili ya ndoa ifungwe sio wewe.
Watu wakizaa na wewe ukaoa mke huyo anayeshikilia game hapo ni baba wa yule mtoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.