Recent content by misskijiji

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mtazamo chanya: Ziara za Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo hazina tija

    Alikuwa Katavi juzi,Wananchi wakamletea ndoo zikuwa na maji wanayokunywa,yaani maji yalikuwa yamejaa vidudu vinachezacheza na vyura wadogo[emoji1787]yaani yeye mwenyewe Comredi Chongolo aliona aibu maana hata Ng'ombe wake hawezi kuwapa maji machafu vile wanywe
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kama kuna mzazi anasomesha mtoto wake wa kike Dodoma Media College (DMC) basi ajiandae kisaikolojia

    Nadhani wewe akili zako zipo kinyeoni huko hivyo kujibishana na punga kama wewe ni kupoteza muda tu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kasaka: Jengeni Imani na Serikali Iliyopo Madarakani

    Mtoto wa Njelu Kasaka huyu bila shaka,kachukua Jimbo la Baba,kumbe Mwambalaswa alipigwagwa chini hilo Jimbo duuuh
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hongera Rais Samia Suluhu Hassan kwa Kupokea Shahada ya Heshima nchini India, Unastahili "NOBEL

    Nchi ngumu sana hii [emoji1787]
  5. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa Taasisi au Benki inayokopesha wakulima wadogowadogo

    Huko kwenye USHOGA hapana
  6. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa Taasisi au Benki inayokopesha wakulima wadogowadogo

    Asante,sasa kama mimi nalimia huku Ilula kijijini,na Mali mfano nyumba ipo Mbeya na ina Hati,hapo utaratibu huwa unakuaje?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa Taasisi au Benki inayokopesha wakulima wadogowadogo

    Wana wa Mungu Habari ya Asubuhi. Katika kujikwamua na maisha, Dada yenu nimeendelea kupambana na Kilimo cha Mahindi na Nyanya hapa Ilula mkoani Iringa kwa kukodi mashamba kwa Bei rafiki. Naomba kufahamishwa kwa anayejua Taasisi au Benki zinazotoa mikopo kwa wakulima wadogo wadogo kama mimi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania TFF na bodi ya ligi mnapokalia kimya huu utumbo unaofanywa na marefa ni dhahiri kuwa mmetoa baraka zote

    Usiishie kukazia tu,KAZWA kabisa tujue moja
  9. M

    JamiiForums Tanzania TFF na bodi ya ligi mnapokalia kimya huu utumbo unaofanywa na marefa ni dhahiri kuwa mmetoa baraka zote

    tupo makazini tunaijenga Nchi,PUNGUANI lipo JF linalialia waamuzi,kachezeshe wewe nyoko[emoji867]
  10. M

    JamiiForums Tanzania TFF na bodi ya ligi mnapokalia kimya huu utumbo unaofanywa na marefa ni dhahiri kuwa mmetoa baraka zote

    [emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji8...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Eddo kumwembe: Goli la Singida fountain Gate ni goli halali kabisa sema mwamuzi kawanyima goli

    [emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
  12. M

    JamiiForums Tanzania TFF na bodi ya ligi mnapokalia kimya huu utumbo unaofanywa na marefa ni dhahiri kuwa mmetoa baraka zote

    [emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
Back
Top Bottom