hata kama ningekuwa mie nisingekubali..kisa kazi ndo nimvulie nguo kirahisirahisi namna hyo,,hata kama sijampenda toka moyon swez hata kidogo,,,bora niwape washikaji ambao nawapenda from my heart na sio mtu b,se of something,,kama ipo ipo tu ila mwanadamu anaichelewesha.