Recent content by missfj

  1. M

    Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

    Thanks for ur compan to take care of me..then do ikawa tumeachana...its more than pain
  2. M

    Hapo ndio nashindwa kuwaelewa wanawake

    hata kama ningekuwa mie nisingekubali..kisa kazi ndo nimvulie nguo kirahisirahisi namna hyo,,hata kama sijampenda toka moyon swez hata kidogo,,,bora niwape washikaji ambao nawapenda from my heart na sio mtu b,se of something,,kama ipo ipo tu ila mwanadamu anaichelewesha.
  3. M

    Dedicated to all girls

    Its true umenigusa sana,thanks
  4. M

    Yupi mpenzi wa kweli?

    wote tu but inategemea na mtu mwenyewe alivyo kitabia
  5. M

    Yaliyo nikuta kwenye daladala

    Pole sana ndugu... But samehe saba mara sabin mung atakulipia
  6. M

    Nimueleweje na nifanyaje?

    pole sana dada but mwanaume akitaka kukuacha kamwe hakutamkii kuwa kuanzia leo achana na mimi usinijue nisikujue but utaona tu vitendo vyake sasa jiongeze achana nae mind ur own bussiness kama mungu kakupangia kuwa atakuwa wako bas ipo sku,,,,,coz always boys wanaona kwamba akikwambia hakutaki...
  7. M

    Maambukizi ya Pili ya Gonorea yanatibika?

    pole yake jaman aende hospital akatibiwe jaman kabla haijawa complicated
  8. M

    Nimeumizwa na tukio hili

    ooh jaman its more than pain,,,but mwachie mungu,,,apumzike kwa amani mtoto
  9. M

    Kaniumiza kisa Facebook

    samehe saba mara sabini
  10. M

    Demu wangu kabadilika, naombeni ushauri wana jukwaa

    pole kaka but kama kakwambia ukweli au hata kama anafanya joking mpe muda kidogo umcheki ukiona haconctrate na wwe just leave her and mind ur own bussiness na huwez jua hueda kukuepusha na mengi,,achana nae and keep on waiting one day God will show u ur beautiful wife,,poleee
  11. M

    My God help me nimpende nani

    Yeah ni kweli kabsa.
Back
Top Bottom