Hii JF,
Naombeni msaada wenu,
Nimeshindwa kulinda biashara yangu kutokana na kuugua hapo awali, nilikuwa na Duka lenye thamani ya sh.ml.5 nilikuwa nauza vinywaji baridi, biscuits, juice, bites, cake and luxury items.
Nilikuwa nafanya biashara vizuri kabisa coz bites nyingi ni kazi ya mikono...
Unaweza kuanza but kma tayari una Shemu hiyo hela isiinhie kwenye jengo,mapato TRA wala TFDA. Iwe ya mzigo tu hapo unaweza .inalipa kwenye Shemu yenye mzunguko wa biashara na uuze bites and soft drinks kwanza ikijizungusha faster unaanza kuongeza bidhaaa usikate tamaa mapema ni kubwa San hy hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.