Hii JF,
Naombeni msaada wenu,
Nimeshindwa kulinda biashara yangu kutokana na kuugua hapo awali, nilikuwa na Duka lenye thamani ya sh.ml.5 nilikuwa nauza vinywaji baridi, biscuits, juice, bites, cake and luxury items.
Nilikuwa nafanya biashara vizuri kabisa coz bites nyingi ni kazi ya mikono...