kweli ni utata na kuna kauli niliisikia kuwa u4 alimueleza yule muuza samani kwamba muuaji nimemuacha ndani cjui kama familia yangu ipo salama..sasa kama muuaji alimuacha ndani alimuonaje tena akijiua?
hahaha..ni kweli wanaboa sana, kuna mmoja alipata ajali huku kwetu kwa hasira watu wakawa wanampita, wanasema nyie c mnajifanya mna umoja..subir wenzio waje wakuokoe..!!
eh unampa pongezi kwa kutupa mtoto?hata kama awe na matatizo kiasi gani suluhisho c kutupa mtoto alikuana uhakika gani kama mtoto huyo ataokotwa na mtu ..je angeliwa na wanyama? ni bora angeweka wazi shida zake wasamaria wamsaidie...
Hivi inawezekanaje mtu uzae mtoto umlee mpaka miezi minne halafu umtupe kweli? hata ile huruma tu kwamba mtoto huyu amenizoea, nitamkumbuka, cjui nani atamuokota, kweli mtu unakuwa hauna? nimeamini kweli tumeumbwa tofauti...mtoto huyu mzuri unayemuona ametupwa maeneo ya bamaga mwenge, kwa nini...
mmmh, huko kwenye kutafuta amani sasa kuna mawil Daddo..either damu yangu imwagike ...wakati me bado nina hamu ya kuishi!! kenya now hali ni shwari nitakuwa mkimbizi kwa muda..hahaha..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.