Recent content by miss nuru

  1. M

    Kwahiyo humu MMU kila mtu ana gari na nyumba?

    Ha ha ha ha ha nimecheka mpaka machoz ,looh eti nilimpa lift mchepuko ha ha ha na kiingereza kidogo watu tunaamin ha ha ha
  2. M

    Tuambie kitu ulichofanyiwa utotoni kikakuletea madhara hadi leo

    Nilipokuwa mdogo mama uliniambia wamaume si watu wazuri ,waongo sana ,na nisiingie kwenye mapenzi kabisa maana wanaturubun tu ili wapate wanachokitaka ila hawan mapenzi ya kweli ,hiyo imeniathir,pia mama alikuwa anasema ukipata mimba nakufukuza hapa home na baba yako atakuuwa,jaman nilipata...
  3. M

    Naomba ukweli kujua Onecoin

    Mie nilivyosikia unalipwa kila wiki sio unasubiria wiki 52
  4. M

    Msaada: Najihisi mimi ni bisexual

    Ha ha ha eti tushakupoteza
  5. M

    Njoo tutengeneze fedha ndani ya wiki moja

    Mie hata sijaelewa
  6. M

    Sijui yukoje huyu dada

    Hunijui bhana ,prince
Back
Top Bottom