Sijui yukoje huyu dada

Sijui yukoje huyu dada

,Kijana maliza likizo rudi shule wakubwa wameshituka kuwa upo likizo
 
wakuu, kuna binti nlikuwa namuelewa so ikabidi nimfate nimueleze kilicho rohoni mwangu, basi mtoto akawa anarukaruka, anajidai mara sms hajibu, na mambo mengi tulianza taratibu kuzoeana lakini shobo kwa huyu dada haziishi sasa jana nkawa watsap nkamuona online nkam-text, hakujbu akawa anatoka anaingia nkamtext tena kimya ila hyo tabia waga anayo, nkamuambia acha dharau, lol mtoto kanibadilikia kapanic kasema na namba yake nifute,na ukweli nampenda je nifanyeje? maana binti kashantakia maisha mema
Subiri akiachwa na anayemzuzua atakujibu text zako....ndowalivyo tena akiyumbishwa na jamaa kidogoo anakupa hadi mzigo ww endelea na hizo text kila siku atachokaa mwenyewe ila usome udhaifu wake na wewe sio unasubiri Muujiza!!!
 
Hivi kigumu hapo nini umeshaona hupendwi kinachokung'ang'aniza kitu gani.

Tafuta akupendaye wacha kuumiza kichwa.
 
mtu hakutaki na ameshakuonyesha kabisa sijui nn unataka kwake

nyie ndio wale mtu anakukubali ili mradi tu sbbu unaforce mapenzi na unafanywa kama zombi
 
Jua hujapendwa unamletea giza huna viwango anavyotaka
 
wakuu, kuna binti nlikuwa namuelewa so ikabidi nimfate nimueleze kilicho rohoni mwangu, basi mtoto akawa anarukaruka, anajidai mara sms hajibu, na mambo mengi tulianza taratibu kuzoeana lakini shobo kwa huyu dada haziishi sasa jana nkawa watsap nkamuona online nkam-text, hakujbu akawa anatoka anaingia nkamtext tena kimya ila hyo tabia waga anayo, nkamuambia acha dharau, lol mtoto kanibadilikia kapanic kasema na namba yake nifute,na ukweli nampenda je nifanyeje? maana binti kashantakia maisha mema
hahaha, daaah itakua kashtkia una kibamia😀😀😀

kidding
 
Back
Top Bottom