Recent content by miss nora

  1. miss nora

    Bi mkubwa kakimbia msaad plsss

    tuna biashara yetu lkn sasa tatizo hatuwezi kuiua hiyo biashara alokuwa anaifanya kwani itasaidia kusomesha watoto alowaacha na me nlichokuwa nataka kujua mume hana shuda ananiambie ntakuwa naenda kiangalia hy biashara tatizo ni kwangu je ni haki me kwenda kweny hiyo biashara na hata kufikia ktk...
  2. miss nora

    Bi mkubwa kakimbia msaad plsss

    Sa mumy unadhan me nifanyaj ktk hii situation
  3. miss nora

    Nimechanganyikiwa mpaka nakitamani kifo nisaidieni nifanyeje mimi

    Dada umeshapata ushaur wa kutosha..sasa huna,haja ya kujiua wala nn.hawa ndo wanaume ambao wamekuwa jaribu kubwa ktk maisha yetu japo tulitoka ubavuni mwao. Mpotezee muombe mungu akupe ujasiri endelea namaisha yako zaa na lea mtoto wako kuzaa bila kuolewa siyo mwisho wa maisha yako
  4. miss nora

    Bi mkubwa kakimbia msaad plsss

    Naamini kw uwezo wa mungu wote mu wazima.wana jf..happy new yeah!!me siyo mgen humu ila huwa napita tu na mwaka jana nlileta matatizo yangu hapa mkanishaur vzr tu..maisha haijabadilika mume bdo kicheche lkn sigomban nae tena akili yangu imekomaa naangalia maisha yangu tu na bado nipo na...
  5. miss nora

    Please msaada tena

    Jamanni nimerudi tena na matatizo yangu,,hili janaume linataka roho yangu sasa, coz anafika mbali mpaka wageni na ndugu zangu sasa anawatongoza..me nimefika mwisho, nishaurini tena,, nafikiria kuachana nae lakini nitaanzia wapi maisha na ukiangalia nasimamia biashara zetu . lakini sasa natafuta...
  6. miss nora

    Nimeachana na hawara nachanganyikiwa

    ishu iko hivi, kwa sasa mume kajirudi tena sana tu, baada ya kuona na mimi simfatilii amekuwa clos na mimi sana,ila tatizo ni kwamba mimi simpendi kutoka moyoni, na kuachana nae siwezi coz 2metoka nae mbali sana na ingekuwa ni kuachana tungeachana kipindi amenikosea ila kwa sasa katulia mm moyo...
  7. miss nora

    Nimeachana na hawara nachanganyikiwa

    siyo mara ya kwanza kuomba ushauri humu mimi ni mama mwenye miaka 24 nina mtoto wa mwaka na nusu, na ndoa yangu ina miaka mitano na nusu,ni miaka miwilli sasa mume wangu amekuwa kiwembe kutokana na kugombana mara kwa mara na mimi nikaamua nikae ninyamaze nisiendelee kumfuatilia kwani niliona...
  8. miss nora

    Kuweni makini na facebook

    huyo rafiki yako mwambie amtimizie mahitaji yote mkewe inavyoonekana huyo mke wa rafiki yako ana matatizo katika ndoa thats y kafanya anafanya mambo ya ajabu
  9. miss nora

    ndoa inanishinda nipen mawazo yenu

    nashukuru sana kwa ushauri wenu siyo kwamba huyu baba nampenda tena kiviile coz tabia zake nimezichoka,,hapa natafuta njia za kuachana nae lakini nashindwa nianzie wapi kwan mim nimuoga cana na wala cjawahi kumueleza mama yangu wala ndugu zangu matatizo niliyonayo kwa sababu mimi huwa ni muoga...
  10. miss nora

    ndoa inanishinda nipen mawazo yenu

    yey ana miaka 45 yaani kwake ndiyo kumekucha na visichana ananiboa mpaka basi,
  11. miss nora

    ndoa inanishinda nipen mawazo yenu

    nashukuru kwa ushauri wenu dada zangu mlionishauri niongee nae pia nivumilie mungu awabariki cna
  12. miss nora

    ndoa inanishinda nipen mawazo yenu

    habari wana jamii forms, napenda mawazo yenu na michango mnayotoa humu,,mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 23 naomba msaada jamn,nina mume ambaye nipo nae kwa miaka sita na nimezaa nae mtoto mmoja, kiukweli huyu kaka ni malaya cna kutokana na tabia yake hapo nyuma kwani aliowa wake 2 kabla...
  13. miss nora

    How to use JamiiForums effectively

    hellow wapend wana jamii forum, napenda kuwashukuru kwa mawazo yenu na michango mingi ambayo inatusaidia katik jamii,,hasa sisi tunaojiingiza katika relation mungu awabariki sana nimejifunza mengi kupitia blog hii
Back
Top Bottom