miss nora
Member
- Mar 25, 2011
- 13
- 7
Naamini kw uwezo wa mungu wote mu wazima.wana jf..happy new yeah!!me siyo mgen humu ila huwa napita tu na mwaka jana nlileta matatizo yangu hapa mkanishaur vzr tu..maisha haijabadilika mume bdo kicheche lkn sigomban nae tena akili yangu imekomaa naangalia maisha yangu tu na
bado nipo na mume..labda kifup t ni kwamba niliolewa nkamkuta alitenitangulia Ui
akiwa na watot wawl mume akasema kuwa kaowa kisa huyo bi mkubwa mkorofii matatizo kibao..sa tumeendelea na maisha kila mmoja yaan bi mkubwa ana nyumba yake na biashara yake na me hivyo hivyo..sa mwaka jana bi mkubwa kakimbia nyumba na biashara kaenda kuolewa na haijilikani alipo na huyo mumew mpya..
Sa nnachoomba ushauri ni kwamba jamaa anataka tuongeze mtaji kwenye biashara aloiacha bishost sa nafikiria tuwekeane mikakat gan coz nafikiri bdae bi shost anaweza rudi akakuta biashar imekuwa kubwa nkawa cna changu mume anadai hawez rud ndo imetok tuwekeane mikakat gan labd ambay itanlinda..nmechanganya lkn I think ntaelewe
bado nipo na mume..labda kifup t ni kwamba niliolewa nkamkuta alitenitangulia Ui
akiwa na watot wawl mume akasema kuwa kaowa kisa huyo bi mkubwa mkorofii matatizo kibao..sa tumeendelea na maisha kila mmoja yaan bi mkubwa ana nyumba yake na biashara yake na me hivyo hivyo..sa mwaka jana bi mkubwa kakimbia nyumba na biashara kaenda kuolewa na haijilikani alipo na huyo mumew mpya..
Sa nnachoomba ushauri ni kwamba jamaa anataka tuongeze mtaji kwenye biashara aloiacha bishost sa nafikiria tuwekeane mikakat gan coz nafikiri bdae bi shost anaweza rudi akakuta biashar imekuwa kubwa nkawa cna changu mume anadai hawez rud ndo imetok tuwekeane mikakat gan labd ambay itanlinda..nmechanganya lkn I think ntaelewe