Ndugu elewakuwa katika lugha yoyote kuna lugha kuu na lahaja zake,mfano unaposema Kiswahli, kuna kipemba, kimakunduchi, kitumbatu, kiunguja mjini, hata Tanganyika kuna Kiswahili chake,kenya chake, na inawezekana kama upo Tanganyika mpemba akingumza Kiswahili hupati kitu japo na wewe unakizungmza...