Hello, niliomba nafas ya kusoma masters katika chuo fulani apa Tanzania, nimebahatika kupata nafasi
Swali langu ni Je naweza kuomba sponsership kwenye shirika lolote au ni lazima kusubir zile zinazotangazwa na chuo husika??
Wasiwasi wangu ni je ukisubir alafu ukakosa?? Si nitakua nepoteza nafas...
Utasubiri sana
Wakeup lady
Unaonekana king'ang'anizi sana
AMeshakusoma tena kama hamna mda mrefu anaona ajitoe mapema
Mi niliaga na mtu kama hyo
Nkaamua kumblock kona zite ili ata akinimis asipate pakunipata
Tokea last year january, huwez amin juz ndo nimekuta text yake tena kwa namba mpya...
Unataka ashinde wap achen kujifanya wajuaji kama unaona huna msaada funga mdomo wako, na usitype hapa
Mnakera, yan ninyi ni wale msiopitwa na jambo, ata kmaa huna la kusrma anafanya useme tu
Wew kam umefanikiwa kwa chochote mshukuru Mungu
Acha kuongea kama hujapitia shida wew
Yan umenikera mnooo...
Habari wana Jf
Afisa kilimo mwenye elimu level ya Diploma, course ya General agriculture na mwenye uzoefu wa mwaka mmoja katika kaz anatfuta nafasi ya kazi kwa kampuni binafsi zenye uhitaji wa mtu wa taaluma hyo
Kwa mwenye uhitaji plz Pm
Asanteni.
Napatikana Dar es salaam.
A lot of people think that poverty can be reduced or eradicated by so much investment in agriculture and other economic sectors,
But they forget that Environmental degradation is one big factor leading to poverty in most third world countries
If we degrade the environment, the environmental...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.