Nampenda Mungu klko tu kwaio dini ndio muongozo wangu wa maisha na haitotokea kupelkeshwa na mtu kuhusu pili si sahihi kutoka RC kwenda uislam km wewe mwenyew haupo radhi na hilo kwasabbu kwenye imani mtu halazmishiwi ni hiar tu
In Islam ninavojua mm ni kharaaaam kumuingilia mtu kinyume na maumbile na hata Kama ni mke basi unarhusiwa kuondoka ukarudi kwenu ukatulia kaumu Lut waligharikishwa kwa sababu ya kulawitiana sasa hiyo no.4 ndo kwanza naickia Leo
no.1 kiuhalisia talaka Mungu anaichukia ni ruhusa kuacha if...
Ndoa huandikwa na Mungu na alipangalo yeye hakika wa kulipangua hayupo km ana kheri naww hakika atakuoa mtu mzima ana maamuzi yake amueni nyinyi wawili
kashimir Mussa, Kapime hernia haraka sana ucje kuleta matatizo my father alikua na matatizo ya mkojo akafanyiwa operation after that akawa na tatizo la hernia homa Kali kweli kweli akataka kufanyiwa operation ila damu ilkua chache mwilin na nzito akapangiwa next week kurudi he passed away...
Nilikutana na dogo amemaliza form 4 kaletwa dar kusoma kakutana na marafiki chuo akapata dawa ya kunenepesha miguu kila cku ucku anajipaka akilala ckutaka kuingilia nikaubana
Yeye alinikopesha kwa mbinde mana kwenye familia sio wote wanakua na imani sawa aliona ntachkulia tu ndugu sitolipa ila nimemlipa bila ugomvi na uezo wa kunigaia tu anao au kumlipa nusu nusu ila kwa vile tulikubaliana kukopeshana sikutaka kuvunja amri najua Sina pakwenda siku ya pili nikipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.