Recent content by Miss Grace

  1. Miss Grace

    BIASHARA YA VITENGE

    Hello MALIMI MESHACK njoo dm nikupe namba ya mtaalamu wa hvyo vitenge anauza aina zote yupo dar
  2. Miss Grace

    Msaada; Nataka kujiunga na CRDB gharama jee?

    Nenda kwenye tawi la CRDB kufungua ni bure ingawa kuna pesa unatakiwa ku deposit kwa siku ya kwanza.
  3. Miss Grace

    Majaki batiki fashion

    Jumla unauzaje??? Ni mita ngapi???
  4. Miss Grace

    Msaada namna ya kutunza akiba

    Tunza faida.... Baada ya kutoa cost zote kinachobaki peleka benki.
  5. Miss Grace

    Nitawezaje kuwa wakala wa kuuza umeme wa luku?

    OK..... Nmewapigia hao selcom wanasema unaweka kwenye airtelmoney, mbona airtel money nna balance kubwa tu SALOK
  6. Miss Grace

    Nitawezaje kuwa wakala wa kuuza umeme wa luku?

    Hyo 510 ndo kitu gani coz kwangu inasomeka zero 0 SALOK
  7. Miss Grace

    Nitawezaje kuwa wakala wa kuuza umeme wa luku?

    Nmeweza aiseeee.....ila bado vitu vidogodogo
  8. Miss Grace

    Nitawezaje kuwa wakala wa kuuza umeme wa luku?

    Naomba unielekeze hilo swala SALOK
  9. Miss Grace

    Kifo cha Mh Mzee Sitta na maswali kadhaa

    Huyo lemutuz anaongea hayo kama nani??afuate kilichompeleka msiban na si vinginevyo
  10. Miss Grace

    Yanayojiri Fiesta kutoka viwanja vya Leaders Club, Kinondoni - Dar es Salaam

    Kwani kesi???? Umeniquote that's y nmekuquote back.Niulize nn?? Unataka ligi la diamond na Kiba.Nikalale mie
Back
Top Bottom