Recent content by Miss Goguryeo

  1. Miss Goguryeo

    Wazoefu kwenye mahusiano naomba mnisaidie

    Sawa, asante sana bhachu.
  2. Miss Goguryeo

    Ni basi gani uliwahi panda ukajuta na ukasema hutokaa ulipande tena?

    Happy nation, jamani lile gari siti ndefu ukikaa huwezi kunyoosha miguu kabisa, alafu bovu ,linanyata , Dar to Mbeya tulifika saa tano usiku, Ila Rungwe ndo balaa, Dar to mbeya tulifika saa sita usiku.
  3. Miss Goguryeo

    Friday 13th siku mbaya inayoogopwa mno na Wazungu

    [emoji1][emoji1][emoji1] hatimae umekiri kumbe ni wewe mwenyewe.
  4. Miss Goguryeo

    Kwa wenye tigo tu

    Aisee hii sms nilijua utani nikapuuzia, waliowahi asubuhi wawili wamepata MB wamescreenshot wakatuma kwenye group, ila mimi nilipotuma nilikosa nilikuwa nimeshachelewa.
  5. Miss Goguryeo

    Vijana ajira zipo tuache uvivu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maake hapo kwanza ncheke, ugraduate umevamiwa sana siku hizi, kila mtu mimi ni graduate[emoji2]
  6. Miss Goguryeo

    Kwanini mwanamke wa Kiislam kuwa Rais ni kukiuka nguzo za Uislamu?

    Natamani ni comment [emoji24][emoji26] ila acha nikae kimya tu.
  7. Miss Goguryeo

    Wazoefu kwenye mahusiano naomba mnisaidie

    Sawa nitajitahidi kufanya hivyo, asante
  8. Miss Goguryeo

    Wazoefu kwenye mahusiano naomba mnisaidie

    Habari watu wa JF Mimi ni msichana 23yrs sikuwahi kuingia kwenye mahusiano, ila 2019 nilianza mahusiano na kijana fulani yeye ni 31 yrs, ni mwanaume wa kwanza kwangu alinipenda sana na mimi nilimpenda pia, but nilichogundua mimi ndiye nilimpenda sana kuliko yeye. Ilifika mahali...
  9. Miss Goguryeo

    Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

    Hamna usiseme hivyo, utakuta yeye pesa zake anamalizia kwa makahaba na michepuko yake nje, akipata shida ndo anakumbuka kuna mke, wanawake wanavumilia mengi sana kwenye hizi ndoa jaman, msiangalie upande mmoja tu watu wanaishi kwa maumivu kwa kigezo cha ndoa.
  10. Miss Goguryeo

    Ukitaka kujua kama unapendwa kweli ugua

    Tatizo jingine wanaume wanajivunia usaliti, kuwa na michepuko nje ya ndoa wanaona ni ujanja kwao na urijali, wanasahau wake zao ni binadamu na wanamaumivu pia sana.sometimes mchepuko ukimkoleza vizuri anaanza dharau, kuchelewa kurudi nyumbani na vituko mbalimbali kwa mke wake. Iko hivi hata...
  11. Miss Goguryeo

    Umewahi kupigwa na mkeo au mwanamke?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni uchungu, itakuwa wapo wengi ila hawasemi tu mpaka watangazwe kama kanumba ndo tujue tusidanganyane humu.
  12. Miss Goguryeo

    Umewahi kupigwa na mkeo au mwanamke?

    [emoji2][emoji2]hadi akafa
  13. Miss Goguryeo

    Nimemtoa bikira sasa anadai nimlipie ada -- nifanyeje?

    Dah [emoji19] umemaliza, ila wanaume hawajui hilo wanachowaza ni kupigwa tu
Back
Top Bottom