Recent content by Miss Cherry

  1. Miss Cherry

    Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

    Ila huu uzi unaukweli asilimia 100 [emoji28][emoji28] wanawake tunapenda attention sana tu, yaan umejikwatua vizuri kabisa na ukajianfalia kwenye kioo mara mbilimbili alafu unapita njiani wanaume kama hawakuoni vile.. lazima ukirudi nyumbani ujiulize hivi nilikosea wapi? [emoji28] wadada...
  2. Miss Cherry

    Je, umewahi kughairi mechi ya kula/ kuliwa tunda? Ilikuwaje?

    [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
  3. Miss Cherry

    Mtangazaji gani ulimjengea picha tofauti na jinsi alivyo, kuanzia kimuonekano, umri na uvaaji pindi ulipomsikiliza kwa mara ya kwanza radioni

    Mamy beib.. sauti yake unaweza kuhisi ni bonge la pini nilivyomuona niliishiwa pozi [emoji1] bora siku za karibuni kawa mzuri.
  4. Miss Cherry

    Nimegundua wanawake wanapenda mwanaume wa namna gani!

    Kubakana tena jamani? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
  5. Miss Cherry

    Nifanyaje kuachana na mwanamke aliye nipenda sana

    Wewe ni mwanaume na nusu [emoji91][emoji91][emoji91]
  6. Miss Cherry

    Muda huu mlango wa chumbani kwangu umefunguka wenyewe

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. Miss Cherry

    Hatimaye uhusiano wangu umefikia mwisho...

    [emoji1][emoji3] Asante Mkuu.
  8. Miss Cherry

    Hatimaye uhusiano wangu umefikia mwisho...

    [emoji1][emoji1][emoji1]
  9. Miss Cherry

    Hatimaye uhusiano wangu umefikia mwisho...

    Hakuna kurudi nyuma [emoji3]
  10. Miss Cherry

    Hatimaye uhusiano wangu umefikia mwisho...

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. Miss Cherry

    Uonevu mashuleni ni janga la kitaifa

    Mkuu kila mmoja ana sababu zake za kumpeleka mtoto boarding, wengine inabidi iwe hivyo kutokana na sababu zilizonje ya uwezo wao, suala la watoto kuingiliwa lipo kila mahali, tena huko majumbani ndio balaa zaidi maana hufanyiwa na ndugu wa karibu kabisa, tuwaombee tu watoto wetu wawe salama.
  12. Miss Cherry

    Uonevu mashuleni ni janga la kitaifa

    Dah! Pole sana Mkuu jitahidi uwasamehe tu ili na ww upate amani ya moyo. Haya mambo ya a athari kubwa sana katika maisha, imagine mpaka unafurahia adui yako kufariki this is way too much, unahitaji kuachia ili uwe huru Mkuu.
Back
Top Bottom