Majambo alikua anakatiza mitaa yooote na manyoya yake nakumbuka nlikua namuogopa lakini nlikua nataka nimuone anavyocheza kwa hiyo sikai mbali na baba maana nlikua nina imani hawezi kunidhuru kama niko benet na baba , basi ukinunua karanga anachezaaa na kuimba lol!
Tukumbuke kwamba WANAWAKE WAKO WENGI SANA LAKINI SIO WOTE WANAOFAA KUITWA "MKE WA MTU"....alichokifanya huyo kaka ni tamaa tu za mwili wake zilimshinda kujizuia akajikuta kamtamani huyo dada....lakini pia tukirudi upande wa dada( mchumba) je kaka alipokuwa anataka " vituz" ulimpa bila tatizo...
Inasemekana huo moto ulizuka baada ya kijiko kinachobomoa kugusa waya wa umeme hapo cheche zikatoka ndipo zikagusa paa la makuti la hiyo samaki samaki bar, moto ulizimika baada ya gari la zimamoto kuwasili....poleni sana
Mh. J Makamba njoo TTCL utusaidie tupate mishahara yetu stahiki....mikataba yetu ya kazi haieleweki yaani tunapelekwa tuuu....nimetoka nje ya mada nisamehewe bure.
Wanajamvi hii imenishtua na kunisikitisha sana, kwanini hatuna woga?? Huyu alificha kwenye laptop akajiamini anaitwa Joseph Makubi pata habari hapa
Tanzanian admits to smuggling heroin inside laptop - San Jose Mercury News
Na pesa ikiongezeka kidogo basi dharau kwa wake zao ndo kwa sanaaa... Hata mie huwa sijui ni ushamba au wanataka waonekane nao wanajua kutumia pesa!!?? Mie huwa nadhani wanafikiri ukiwa na pesa kiduchu na ukaitumia kuwa na wanawake ndo ujanja wa mujini..... Badala wakae na wake zao wanyooshe...
Unaesema mwanamke anakudekea Umenishangaza....sasa akamdekee nani? Kudeka ndo moja ya chachandu za mapenzi mzee....mdekeze kabla hajapata wa kumdekeza ....atapeperuka ohoooo!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.