Naomba kuuliza kwa mnaofanya hii biashara, minimum mtaji ni kama sh ngapi? Je kwa mwanamke anaweza kuifanya? Au inafaa kwa wanaume tu kwa kuwa wengi ni mashabiki wa mpira? Naomba msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.