Asante mkuuTafadhwal na taadhima.. mlango upo wazi ingia..ila chukuwa tahadhari..
Hahaaa sawa ntajaribu NakwedeKaribu mgeni mwenyeji.
Nasubiri nione post yako ya kwanza itahusu nini
Hee bac unaweza ukawa ni jiran yanguKibosho Mango, Mloe, Manushi, Kindi, Kirima Boro, Masherini, Kwa Rafael, Kibosho Road, Kibosho Singa, Kibosho Mweka, Kibosho Central
Asante sabKaribu , mabegi weka nje
Kibosho Mango, Mloe, Manushi, Kindi, Kirima Boro, Masherini, Kwa Rafael, Kibosho Road, Kibosho Singa, Kibosho Mweka, Kibosho Central
Hahaaaa sawa nakuja! Nachukua maji ya kunywa hapakaribu manka nakusubiri chumbani
Asante mkuuKaribu
usichelewe ati muda umeendaHahaaaa sawa nakuja! Nachukua maji ya kunywa hapa
Kibosho road, maili sita, sadara ,boma, sanyaa
ThanksWelcom
Subiri tuvae nguoMgeni jamii forum! Mnipokee. Mnielekeze na pa kuweka mabegi