Amechanganyikiwa!! Kama Mwalimu alivyotabiri kuwa kulizungumia Azimio la Arusha ni lazima uwe umechanganyikiwa!!! Pole kaka. Kutafuta umaarufu siyo kazi, kazi kuufanya uwe endelevu. Nakuombea Mola akupumzishe kwa amani.
Ni bahati kwa Tanzania kuwa na Maswi. Tume mbili kwa suala moja! Hata kama anajulikana kwa kiasi gani isingekuwa rahisi kupona.Tukubali Maswi ni mwadilifu hakuna mfano.
Tumefika pabaya! Tumezoea kudanganywa na watu waovu hasa watafuta umaarufu wa kisiasa. Siyo rahisi kusimamia Haki kwa kuwa tunamezwa na ushawishi wa kijinga kuumiza wengine.
Hongera sana Kamanda Maswi. Hili ni funzo kwa wengi wanaoua vipaji vya Wazalendo kama wewe kwa njaa zao. Mungu akupe miaka ili uione Tanzania ya kesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.