Recent content by mishale

  1. M

    Azimio la Tabora: Hotuba ya Ndugu Zitto Kabwe

    Amechanganyikiwa!! Kama Mwalimu alivyotabiri kuwa kulizungumia Azimio la Arusha ni lazima uwe umechanganyikiwa!!! Pole kaka. Kutafuta umaarufu siyo kazi, kazi kuufanya uwe endelevu. Nakuombea Mola akupumzishe kwa amani.
  2. M

    Zitto atarejea bungeni? Naona makosa mengi katika maamuzi yake!

    Kwanini anakimbia Kigoma kaskazini jamani? Je nao hawana Imani naye? TUMWOMBEE.
  3. M

    Escrow yarudi bungeni kwa kishindo

    Siasa na kutoaminiana vitatumaliza. Mungu aiponye nchi yetu na uchochezi unaoendelea.
  4. M

    Escrow yarudi bungeni kwa kishindo

    Siasa na kutoaminiana vitatumaliza. Mungu aiponye nchi yetu na uchochezi unaoendelea.
  5. M

    Alichojitabiria Zitto kimemtokea haraka

    Ni kama mazoea ya mwizi. A:mimba:Akikosa mtu wa kumwibia hujiibia mwenyewe. Msaliti pia huweza pia kujisaliti mwenyewe.
  6. M

    Ikulu: Eliakim Maswi hakuhusika na uchotaji fedha Tegeta Escrow

    Ni bahati kwa Tanzania kuwa na Maswi. Tume mbili kwa suala moja! Hata kama anajulikana kwa kiasi gani isingekuwa rahisi kupona.Tukubali Maswi ni mwadilifu hakuna mfano.
  7. M

    Ikulu: Eliakim Maswi hakuhusika na uchotaji fedha Tegeta Escrow

    Tumefika pabaya! Tumezoea kudanganywa na watu waovu hasa watafuta umaarufu wa kisiasa. Siyo rahisi kusimamia Haki kwa kuwa tunamezwa na ushawishi wa kijinga kuumiza wengine.
  8. M

    Ikulu: Eliakim Maswi hakuhusika na uchotaji fedha Tegeta Escrow

    Watapigana lakini hawatashinda!! Haki yako mbele za Mungu :smow:itaendelea kukulia. Isaya 54:17 imetimia.
  9. M

    Ikulu: Eliakim Maswi hakuhusika na uchotaji fedha Tegeta Escrow

    Hongera sana Kamanda Maswi. Hili ni funzo kwa wengi wanaoua vipaji vya Wazalendo kama wewe kwa njaa zao. Mungu akupe miaka ili uione Tanzania ya kesho.
  10. M

    Ujumbe kwa Zitto: Umekimbia Nini, Unafanya Nini?

    Hatadumu hata huko. Roho aliyonayo haiwezi kumwacha kutulia. Ni kama mwizi anapoamua kujiibia baada ya kukosa wa kumwibia. Mwisho mbaya.
  11. M

    Ujumbe kwa Zitto: Umekimbia Nini, Unafanya Nini?

    Zitto kwishenini
Back
Top Bottom