Escrow yarudi bungeni kwa kishindo

Escrow yarudi bungeni kwa kishindo

Huu ujinga unafanyika tanzania tuu badala ya watuhumiwa kupelekwa mahakamani kujibu shtuma hizo wanasafishwa na wahusika wao hili dili la pesa za ESCROW uliwanufaisha vigogo wakubwa sana ndo maana wameshaanza kuwasafisha kuna ile kauli mwaga ugali na mimi nimwage mboga .lakini ni vema serikali ya ccm ikatambua wananchi wa sasa siyo wale wa zamani .UKAWA hii nafasi nzuri kujipanga kuchukua dola tusiposhinda uchaguzi huu basi tusitegemee tena kuja kushinda .
View attachment 252398
Hizi BAKORA 6 zinatosha kabisa kuindoa madarakani serikali ya ccm.

Tafadhali sana tupe listi yazo bakora! Hapo hazionekani vizuri.
Asante.
 
nakuwa na wasiwasi na ile kamati ya maadili inaweza na yenye kuwa na majibu yaleyale ya ku safisha.
 
Siasa na kutoaminiana vitatumaliza. Mungu aiponye nchi yetu na uchochezi unaoendelea.
 
Kinacho nisikitisha ni jinsi wabunge wengine wa
ccm wanavyo shindwa kupata tafsiri ya kauli ya serikali kupitia Katibu mkuu kiongozi. Ujumbe anaotoa Sefue ni kwamba Ikulu imedharau azimio la bunge na zile taarifa za CAG na PCCB.
Nasikitika kwa vile wangekuwa wameijua tafsiri hiyo hata wao wangeungana na Serukamba na wabunge wa upinzani kuikona serikali katika jambo Hilo, lakini ukiona jinsi mishipa ya shingo inavyo wasimama kuitetea serikali unatambua kuwa hawa ni mbumbumbu hawajui kinachoendelea au watu walio uza utu wao na wa waliowachagua kwa kulambishwa sukari

Mkuu nimeipenda sana ile single ya Tundu Lissu kule Bungeni inayosema kuwa "Serikali ya CCM imechoka!" imepokelewa vizuri sana huku mitaani, watu wanaimba balaa! Wimbo ni mzuri hata ukiusikiliza utaupenda, Mwenyekiti wa wafanyabiashara Johnson Minja jana amewaimbia watu wa mkoani mara! Anasema "...hakuna uwazi Serikalini mtu unalipia kodi kontena la viatu milioni 40 cha kushangaza unapewa risiti ya milion 10..."
 
Ukiyastaajabu ya Ikulu utayaona ya Pinda. Sasa kama si Ikulu iliyowasafisha hao Mawaziri ni nani aliyefanya hivyo? Sefue kapata wapi madaraka ya kutamka hadharani kwamba hao mawaziri wamesafishwa!? Mbona hii Serikali imekithiri kwa usanii na kauli ambazo hazieleweki kwa Watanzania walio wengi?

Pinda: Si Ikulu iliyowasafisha mawaziri - Kitaifa
 
Ukiyastaajabu ya Ikulu utayaona ya Pinda. Sasa kama si Ikulu iliyowasafisha hao Mawaziri ni nani aliyefanya hivyo? Sefue kapata wapi madaraka ya kutamka hadharani kwamba hao mawaziri wamesafishwa!? Mbona hii Serikali imekithiri kwa usanii na kauli ambazo hazieleweki kwa Watanzania wali wengi?

Pinda: Si Ikulu iliyowasafisha mawaziri - Kitaifa


Ha ha ha ha WACHOVU bhana!!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Siasa na kutoaminiana vitatumaliza. Mungu aiponye nchi yetu na uchochezi unaoendelea.
 
hatuwezi kuwa na ushirika kwenye wizi, Job Ndugai. Zitto watuhumiwa wa ile benki nyingine umefanya nao ushirika??? hata ndugai tu anakushinda kufikiri japo ni magamba?? Ukisikia mtua amekwisha ndo kama hivyo ulivyofanya juu ya escrow
 
Well said. Maneno mazito yaliyojaa hisia kali za uzalendo. Kudos bro.
 
Hilo linajulikana Mkuu, Rais kayakimbia majukumu yake sasa kamuachia Katibu wake ndiye awe anatangaza maamuzi ya Rais.
Kwa miaka hii 10 ni lini tuliwahi kuwa na Rais? Mimi kwa kweli sijui kama Tanzania yupo mtu wa aina hiyo!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hakika Kikulacho umenena. Ni bahati mbaya watawala wetu ni sikio la kufa halisikii dawa. Wala hayo uloandika hawayaelewi wala hata hekima kidogo ya kusoma maandishi ukutani, hawana ni hiyo ni kwa sababu wamekusudiwa mabaya ili waangamie. Kudos bro.
 
Serukamba na wivu wa kike ,Escrow na Richmond ni vitu tofauti kabisa,boss wake bado analo,hasafishika !!!
 
Lakin ipo cku mwenyez mungu atawapa watu uelewa wa haki zao tu, km kuingia road au vp?
 
Ubinafsi wa viongozi wa nchi hii utalimaliza taifa.
 
Katika hali isiyoeleweka leo Kafulila leo kazimwa Bungeni na Spika alipoulizwa Waziri Mkuu juu wa Wahisani kusitisha misaada na juu ya Serikali kulipa mabilioni kwa kampuni ya document za kughushi.
 
Katika hali isiyoeleweka leo Kafulila leo kazimwa Bungeni na Spika alipoulizwa Waziri Mkuu juu wa Wahisani kusitisha misaada na juu ya Serikali kulipa mabilioni kwa kampuni ya document za kughushi.

donda ndugu hilo haliponi lazima liwauwe tu hata wafanyeje?anaweka plasta juu donda linaliwa na limejaa usaa muda litapasuka
 
Back
Top Bottom