Recent content by mirindimo

  1. mirindimo

    JamiiForums Tanzania SERIKALI KUU YA STRUGLE KULIPA WAZABUNI PESA HAITOSHI YAHAHA ISHIKE LIPI

    Habari za ndani kutoka kwa Exchequer ambazo zimetoka wiki iliyopita ni kwamba pesa haitoshi , na Serikali kuu imeamua Ilipe kwanza Wafanyakazi Mishahara, kisha Italipa kwanza Wabunge Mishahara na Posho zao zote na Madai yao yote na kisha ndio itatizama Wazabuni wanaoidai na Wazabuni hao...
  2. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Maeneo ya wazi sasa kuwekwa showroom za magari na vigogo, wagawana kama karanga

    Wananchi wameendelea kushuhudia maeneo ya wazi Dar es salaam yakigawanwa na vigogo kama Karanga au Pipi wakiweka showroom za magari na mengine kugeuzwa matumizi kwa kisingizio uwekezaji. Wananchi hao wameonyesha kutokufurahishwa na mambo hayo nanwengine kusema “haya ndio mambo yatasababisha...
  3. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Video: Waliojitambulisha kuwa ni Askari wamvamia Mwananchi usiku wa manane

    "Naitwa Goodluck Loth Mwakisiala, ni mkazi wa King’azi A. Sisi huku kwetu tumevamiwa usiku wa jana na watu ambao wanasadikiwa kuwa ni askari, lakini sisi hatuna taarifa na ujio wa hao askari. Alafu askari wamekuja usiku wa manane. Na sisi sio vibaka wala sio wezi, ni raia wa kawaida. Na kama...
  4. mirindimo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Makonda ndani ya ufunguzi kombe la dunia Mexico

  5. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Serikali ya jiji Dodoma imetoa amri kubomoa nyumba yetu na kuondoka ndani ya siku 7

    Tunakiwanja chetu . Tuna doc zote lililipia hati toka 2019 tukawa tunafuatilia hati tunaambiwa file letu halionekani 2024 tukaenda kuchukua kibali cha ujenzi ili tuanze kujenga tukapewa kibali cha ujenzi, ile tunataka kuanza ujenzi akaja dada mmoja alie kua jirani yetu anasema anahati na pale...
  6. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Video: UHUNI WA WATU WA MIZANI

  7. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Picha: Mtoto wa Samia akiwa Russia

  8. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Wachezaji under 17, washangiliaji above 40! Upigaji tu ndiyo kitu tunaweza

    Kwa nini hawakupelekwa vijana wadogo kushangilia wale watoto ? Wameshindwa kuchukua hata vikundi vya ndondo cup vikatoe shangwe mnaenda chukua wazee waliojichokea ? CCM kila kitu ni deal
  9. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Picha: Polisi USA VS Polisi wa Tanzania

    Kushoto ni Polisi wa New York wakiwa darasani kujifunza mbinu za kukabiliana na majanga mbalimbali. Kulia ni Polisi wa Tanzania wakiwa kwenye maonyesho ya namna walivyo wakakamavu na wanaweza kubeba pikipiki na kukimbia nazo
  10. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Bandar Dar ana Ukwasi usio wa kawaida

    Mkurugenzi anamiliki majumba ya kifahari maeneo tofauti tofauti jijini Dar huku akitumia vijana wake kadhaa kuchuma pesa kwenye bandari hiyo. Bado tunatafuta file lake, likikamilika tutalimwaga hapa
  11. mirindimo

    JamiiForums Tanzania MSITU ULIOFICHA NDUGU WENGI WA WATANZANIA

    Lango lake kuu pana barrier ndipo alipo ponea Msaidizi wa Tundu Lisu, msitu unaosimamiwa na TIS na kulindwa kwa zamu na askari wa kikosi maalumu kuhakikisha hakuna mtu anaingia huko kama hajatekwa nyara au kwa maelekezo maalumu. Yes ni hapa Tanzania Bunju huko tutakuja na google stalite view...
  12. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Picha: Ubungo Kijazi Exchange yaanza kugeuzwa Makazi

    Sasa hivi madalali wataanza kupa pangisha ! Tuna mtendaji kata, balozi, mkurugenzi , mkuu wa wilaya mpaka Waziri Mkuu aje atoe tamko
  13. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Makonda Angalipo Kwenye Mfumo Sahauni Utekaji Kuisha

    Paul Makonda anaitumia Michezo sasa kuwin his trust kwa jamii aliyoiumiza sana kipindi cha Uongozi wa Magufuli kiasi cha kupigwa ban kuingia Marekani na Serikali ya Marekani bado ana tikisa na genge lake la Mafwele kwa Utekaji nyara wa Viongozi wa vyama Pinzani ambao sasa wanawaita wana...
Back
Top Bottom