Recent content by mirindimo

  1. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Vigogo wamewahi kukataa TISS kuwa taasisi huru inayoshughulikia usalama wa taifa Pekee?

    TUKUMBUSHANE KIDOGO: Kwa wasiojua HISTORIA, DGIS, wakati wa Mkapa, Mzee Apson(RIP) alipotaka sheria ibadilishwe ili TISS iwe ni taasisi HURU nje ya SIASA, inayoshughulika na USALAMA wa TAIFA(100%), Vigogo wa CCM wakiongozwa na Dr Gama(former DGIS na baadae SG-CCM) waligoma! Why? Bila TISS...
  2. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: "Mmetusaliti!" Awalipukia wanasiasa Baada ya Kukusanya "Tone Tone"

    Kwa sasa wanachama wa Chadema wanawasikiliza zaidi Mange Kimambi na Sativa zaidi ya wanavyosikiliza viongozi wao. Chama kuendeshwa na wanaharakati ni hatari sana , na imefikia hapo kwa sababu hao wanaharakati ndio walioshawishi watu wengi kukichangia chama kwa ajili ya Mkutano wa Kamati Kuu...
  3. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Tuna mahakama ya ajabu kuwahi kutokea Tanzania awamu hii

    Yaani inasambaza vithibitisho ili kumuaibisha shahidi, inarusha mitandaoni kupitia akaunti zisizo julikana ili kumuaibisha shahidi , lakini mwisho wa siku wana aibika wao tena. Tuna jeshi bovu la Polisi na Mahakama ya Hovyo dunia nzima hakuna ni Tanzania tu
  4. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Wachukua ruhusa na kujilipa per dm kwenda kumfariji rais (mfiwa)?

    Hii nchi aisee tuna kitu tutafika mbali….. mnajiandikiaje per dm , kujilipia nauli kwenda na kurudi ya kwenda kumfariji mfiwa ? Ndio ni rais lakini kafiwa na mume , mume hakua ameoa taifa wajameni !! Msitumie kodi zetu vibaya hivo
  5. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Mgao wa maji wiki sasa no water Dawasa kuna shida gani?

    Dawasa: kuna mgao wa maji kwa wiki nzima tunajiandaa na elnino; Elnino ikija: miundo mbinu imeharibiwa na elnino hatutakua na maji mpaka tutakaporekebisha miundo mbinu
  6. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa Baraza la Wazee CHADEMA, Mkoa wa Mbeya asema CHADEMA imejaa watu wenye roho mbaya, asema uchaguzi wa chama umejaa rushwa ya kutisha

    Tumeshuhudia roho mbaya sana ya CCM kuzidi ya wanyama wakali wa mwituni , leo tunashuhudia mtandaoni Chadema na wananchama wake wakiwa na Roho Mbaya zaidi ya ile ya CCM !! Tutaponea wapi wananchi ? Je ni bora tubaki na hawa Mbwa mwitu waturarue wanavyotaka au bora tuingie kwenye Mdomo wa Simba...
  7. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Daktari aliyeshambuliwa na Polisi ni Specialist

    Polisi kwanza ndio wanashirikiana na mwizi kuuza na kula pesa za mali zako. Mfano mdogo tu simu nyingi wameuza na kula hela na wezi achilia mbali mali kubwa kubwa
  8. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Daktari aliyeshambuliwa na Polisi ni Specialist

    Ningekua Dr ningehakikisha najua familia ya yule Traffic siku inakuja hosp nawachoma lolotee
  9. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Daktari aliyeshambuliwa na Polisi ni Specialist

    Yule Dr ni Specialist aliekua anawahi kwenda kutimiza majukumu yake ambapo Trafic alichomoa funguo ya gari yake ndipo Specialist aka react
  10. mirindimo

    JamiiForums Tanzania SAMIA : MPANDISHE CHEO IGP AWE WAZIRI WA MAMBO YA NDANI HALAFI WAZIRI AWE IGP AU MPELELEZI MAANA ANAFANYAKAZI ZA POLISI

    Yule Waziri anajia work descriptions zake kweli ? Ukute alimwagiza IGP kufanya anachokifanya akagomewa akaona sio kesi afanye hayo mahojiano mwenyewe
  11. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, Ukiwa Waziri mambo ya Ndani, Watanzania walishuhudia Mauaji ya Watanganyika Oktoba 29 2025. Kaa kwa kutulia, Achana na Nchimbi!!

    Huyu afunguliwe mashtaka kabisa , ndio alitoa order huyu “shoot and kill”
  12. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Waziri unaita wasanii na watu mashuhuri unagawa 50,000? What a shame

    Katambi hizo 50,000 si muingize kwenye Mikopo kwa Vijana ? Nani aliekupa hiyo idea ya kuwagawia wasanii na influencer 50,000 ? Hivi CCM mna pesa za kuchezea sana ee
  13. mirindimo

    JamiiForums Tanzania PICHA: ASKARI ALIUAWA NA ASKARI WENZIE MAHABUSU

    Kama wana uwezo kumuua mwenzao we ni nani ? Hakuna kifo cha Mahabusu , we ulisikia wapi ? Kwamba wakati anajiua wenzie wana muangalia tu ? Hivi Tanzania mna akili ?
  14. mirindimo

    JamiiForums Tanzania CCM HII SCRIPT ITAWACOST

Back
Top Bottom