Na utakuta wana furahi kabisa raia wanavyoteseka kwa maslahi yao , tunaona ya Mwendokasi yalivyo. Lakink siku zao si nyingi maandamano yajayo hayatahitaji mtu uambiwe utainuka kwa sababu ya mambo kama haya
Jeshi la Polisi limetoa hati (certificate) ya kusafisha (clear) tuhuma za uhalifu kwa mmiliki wa IPTL, Seth Harbinder. Juni 2021 Seth aliachiwa chini ya utaratibu wa Plea Bargaining, na kutakiwa kulipa Sh.biloini 26 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
Sisi kitu tunaweza ni kupambana na Upinzani tu na wapinzani.
Tunakwama wapi ?
TTCL wana juhudi kutuma Control number lakini Mfumo haufanyi kazi
DAWASA wanafungua maji siku 1 wanatuma bills wanakata Maji
TANESCO Mvua ikinyesha wanakata umeme kua inaharibu miundo mbinu maji yaki kauka...
Hivi serikali inataka tuishije jamani? TANESCO mnatupiga bei kubwa, halafu hata kununua umeme imekuwa mateso makubwa.
Leo ni siku ya tatu, Kariakoo nzima na maeneo mengine nchini hawawezi kununua umeme kupitia submeter za NV Power zilizo chini ya TANESCO.
Wakati anajibu hivi alijua wao hawafi wala hawaozi, wanaCCM HAWANA UTU WALA HURUMA kwa waTanzania wao wanaishi kama sio waTanzania as if wao ni viumbe wa Mars kumbe tuko nao mtaa mmoja na shida tunazipitia pamoja. Wachunge ndimj zao la sivo tutawahukumu mpaka watakapo kufa kwa kauli zao. Na by...
Asante kwa kuwaelewesha. Ni kweli yaani wanayafunga usiku huko kwenye switch zao mpaka kufikia asubuhi huku mtaani hakuna hata tone kwenye bomba. Kwa sababu wanapofunga sio mda huo huo yanakata , hua yanachukua mda kidogo ndio yanakata.Kwa hiyo usiku saa saba hadi saa 9 au 10 yanatoka ndio...
Haya mashirika inatakiwa yaendeshwe na mtu mwenye taaluma hata ya Utawala upande wa IT na sio mwana siasa. Sasa TTCL kwanini nyie kila Jpili mnazima Internet mpaka Jtatu mchana ?
Hii huduma raia na walipa kodi wanalipia hamkupaswa kuzima au kupangia mtu atumieje maana ni pesa zake mwenyewe...
NAOMBA KUELEWESHWA KWA UPOLE SOTE TUFAHAMU NAKUELEWA,
Mimi nilidhani ujio wa DP WORLD ndio ambao ungehusika kwenye matengenezo wa hiyo bandari! Iweje leo tusikie GHARAMA ZA BANDARI zinaongezeka ili ipatikane fedha yakuboresha miundo mbinu bandari..??
Au mimi sio muelewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.