TUKUMBUSHANE KIDOGO:
Kwa wasiojua HISTORIA, DGIS, wakati wa Mkapa, Mzee Apson(RIP) alipotaka sheria ibadilishwe ili TISS iwe ni taasisi HURU nje ya SIASA, inayoshughulika na USALAMA wa TAIFA(100%), Vigogo wa CCM wakiongozwa na Dr Gama(former DGIS na baadae SG-CCM) waligoma! Why? Bila TISS...
Kwa sasa wanachama wa Chadema wanawasikiliza zaidi Mange Kimambi na Sativa zaidi ya wanavyosikiliza viongozi wao.
Chama kuendeshwa na wanaharakati ni hatari sana , na imefikia hapo kwa sababu hao wanaharakati ndio walioshawishi watu wengi kukichangia chama kwa ajili ya Mkutano wa Kamati Kuu...
Yaani inasambaza vithibitisho ili kumuaibisha shahidi, inarusha mitandaoni kupitia akaunti zisizo julikana ili kumuaibisha shahidi , lakini mwisho wa siku wana aibika wao tena.
Tuna jeshi bovu la Polisi na Mahakama ya Hovyo dunia nzima hakuna ni Tanzania tu
Hii nchi aisee tuna kitu tutafika mbali….. mnajiandikiaje per dm , kujilipia nauli kwenda na kurudi ya kwenda kumfariji mfiwa ? Ndio ni rais lakini kafiwa na mume , mume hakua ameoa taifa wajameni !! Msitumie kodi zetu vibaya hivo
Dawasa: kuna mgao wa maji kwa wiki nzima tunajiandaa na elnino;
Elnino ikija: miundo mbinu imeharibiwa na elnino hatutakua na maji mpaka tutakaporekebisha miundo mbinu
Tumeshuhudia roho mbaya sana ya CCM kuzidi ya wanyama wakali wa mwituni , leo tunashuhudia mtandaoni Chadema na wananchama wake wakiwa na Roho Mbaya zaidi ya ile ya CCM !! Tutaponea wapi wananchi ? Je ni bora tubaki na hawa Mbwa mwitu waturarue wanavyotaka au bora tuingie kwenye Mdomo wa Simba...
Polisi kwanza ndio wanashirikiana na mwizi kuuza na kula pesa za mali zako. Mfano mdogo tu simu nyingi wameuza na kula hela na wezi achilia mbali mali kubwa kubwa
Katambi hizo 50,000 si muingize kwenye Mikopo kwa Vijana ? Nani aliekupa hiyo idea ya kuwagawia wasanii na influencer 50,000 ? Hivi CCM mna pesa za kuchezea sana ee
Kama wana uwezo kumuua mwenzao we ni nani ? Hakuna kifo cha Mahabusu , we ulisikia wapi ? Kwamba wakati anajiua wenzie wana muangalia tu ? Hivi Tanzania mna akili ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.