Recent content by mirindimo

  1. mirindimo

    KERO Wanaotumia NV power submeter, hawawezi nunua umeme nchi nzima

    Haya maelezo hayafanyi kazi unajibiwa kuna changamoto uvumilie sasa ushavumilka siku 2 siku 3 halafu wanaleta majibu mepesi kwa hoja ngumu
  2. mirindimo

    KERO Wanaotumia NV power submeter, hawawezi nunua umeme nchi nzima

    Ili wafanye kazi Tanesco hawakwepeki hapo sasa mafaili yao yakienda Tanesco ili yapite ndio issue inaanza hapo
  3. mirindimo

    KERO Wanaotumia NV power submeter, hawawezi nunua umeme nchi nzima

    Na utakuta wana furahi kabisa raia wanavyoteseka kwa maslahi yao , tunaona ya Mwendokasi yalivyo. Lakink siku zao si nyingi maandamano yajayo hayatahitaji mtu uambiwe utainuka kwa sababu ya mambo kama haya
  4. mirindimo

    Harbinder Sethi atakaswa na Polisi

    Jeshi la Polisi limetoa hati (certificate) ya kusafisha (clear) tuhuma za uhalifu kwa mmiliki wa IPTL, Seth Harbinder. Juni 2021 Seth aliachiwa chini ya utaratibu wa Plea Bargaining, na kutakiwa kulipa Sh.biloini 26 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
  5. mirindimo

    KERO TTCL wanatuma bills lakini mfuno wa kupokea kupokea malipo haufanyi kazi siku ya 3 leo

    Sisi kitu tunaweza ni kupambana na Upinzani tu na wapinzani. Tunakwama wapi ? TTCL wana juhudi kutuma Control number lakini Mfumo haufanyi kazi DAWASA wanafungua maji siku 1 wanatuma bills wanakata Maji TANESCO Mvua ikinyesha wanakata umeme kua inaharibu miundo mbinu maji yaki kauka...
  6. mirindimo

    KERO Wanaotumia NV power submeter, hawawezi nunua umeme nchi nzima

    Hivi serikali inataka tuishije jamani? TANESCO mnatupiga bei kubwa, halafu hata kununua umeme imekuwa mateso makubwa. Leo ni siku ya tatu, Kariakoo nzima na maeneo mengine nchini hawawezi kununua umeme kupitia submeter za NV Power zilizo chini ya TANESCO.
  7. mirindimo

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Wakati anajibu hivi alijua wao hawafi wala hawaozi, wanaCCM HAWANA UTU WALA HURUMA kwa waTanzania wao wanaishi kama sio waTanzania as if wao ni viumbe wa Mars kumbe tuko nao mtaa mmoja na shida tunazipitia pamoja. Wachunge ndimj zao la sivo tutawahukumu mpaka watakapo kufa kwa kauli zao. Na by...
  8. mirindimo

    DAWASA wanafungua maji kwa saa moja ili watume bili

    Hii kitu sio sahihi, hamjatoa maji zaidi ya wiki 2 , halafu mnafungua maji lisaa 1 mnatuma bill ya maji halafu mnakata. Eeeeeh aiseeee
  9. mirindimo

    KERO DAWASA kwanini mnafunga maji usiku, pakikucha mnafungua?

    Wanasema huku miundo mbinu imeharibiwa na mvua kubwa zinazo nyesha
  10. mirindimo

    KERO DAWASA kwanini mnafunga maji usiku, pakikucha mnafungua?

    Asante kwa kuwaelewesha. Ni kweli yaani wanayafunga usiku huko kwenye switch zao mpaka kufikia asubuhi huku mtaani hakuna hata tone kwenye bomba. Kwa sababu wanapofunga sio mda huo huo yanakata , hua yanachukua mda kidogo ndio yanakata.Kwa hiyo usiku saa saba hadi saa 9 au 10 yanatoka ndio...
  11. mirindimo

    TTCL inaendeshwa kisiasa au kitaalamu? Kwanini wanazima intaneti Jumapili mpaka Jumatatu?

    Haya mashirika inatakiwa yaendeshwe na mtu mwenye taaluma hata ya Utawala upande wa IT na sio mwana siasa. Sasa TTCL kwanini nyie kila Jpili mnazima Internet mpaka Jtatu mchana ? Hii huduma raia na walipa kodi wanalipia hamkupaswa kuzima au kupangia mtu atumieje maana ni pesa zake mwenyewe...
  12. mirindimo

    Kodi za TPA 2026 chini ya DP World

    1. Infrastructure Improvement Levy 2. Environmental Management Charge 3. Cargo Handling Charges 4. Container Handling Fees 5. Vehicle Handling & Clearance Charges 6. Storage Charges 7. Berth / Vessel Service Charges 8. Terminal Service Fees 9. Administrative & Port Service Fees
  13. mirindimo

    Ada mpya za Bandari zimeanza kutumika tangu Machi 8, 2026. Ni mwendo wa kukamuliwa mpaka tujute!

    NAOMBA KUELEWESHWA KWA UPOLE SOTE TUFAHAMU NAKUELEWA, Mimi nilidhani ujio wa DP WORLD ndio ambao ungehusika kwenye matengenezo wa hiyo bandari! Iweje leo tusikie GHARAMA ZA BANDARI zinaongezeka ili ipatikane fedha yakuboresha miundo mbinu bandari..?? Au mimi sio muelewa?
Back
Top Bottom