Habari za ndani kutoka kwa Exchequer ambazo zimetoka wiki iliyopita ni kwamba pesa haitoshi , na Serikali kuu imeamua Ilipe kwanza Wafanyakazi Mishahara, kisha Italipa kwanza Wabunge Mishahara na Posho zao zote na Madai yao yote na kisha ndio itatizama Wazabuni wanaoidai na Wazabuni hao...
Wananchi wameendelea kushuhudia maeneo ya wazi Dar es salaam yakigawanwa na vigogo kama Karanga au Pipi wakiweka showroom za magari na mengine kugeuzwa matumizi kwa kisingizio uwekezaji.
Wananchi hao wameonyesha kutokufurahishwa na mambo hayo nanwengine kusema “haya ndio mambo yatasababisha...
"Naitwa Goodluck Loth Mwakisiala, ni mkazi wa King’azi A.
Sisi huku kwetu tumevamiwa usiku wa jana na watu ambao wanasadikiwa kuwa ni askari, lakini sisi hatuna taarifa na ujio wa hao askari. Alafu askari wamekuja usiku wa manane. Na sisi sio vibaka wala sio wezi, ni raia wa kawaida.
Na kama...
Kwa nini hawakupelekwa vijana wadogo kushangilia wale watoto ?
Wameshindwa kuchukua hata vikundi vya ndondo cup vikatoe shangwe mnaenda chukua wazee waliojichokea ?
CCM kila kitu ni deal
Kushoto ni Polisi wa New York wakiwa darasani kujifunza mbinu za kukabiliana na majanga mbalimbali.
Kulia ni Polisi wa Tanzania wakiwa kwenye maonyesho ya namna walivyo wakakamavu na wanaweza kubeba pikipiki na kukimbia nazo
Mkurugenzi anamiliki majumba ya kifahari maeneo tofauti tofauti jijini Dar huku akitumia vijana wake kadhaa kuchuma pesa kwenye bandari hiyo.
Bado tunatafuta file lake, likikamilika tutalimwaga hapa
Lango lake kuu pana barrier ndipo alipo ponea Msaidizi wa Tundu Lisu, msitu unaosimamiwa na TIS na kulindwa kwa zamu na askari wa kikosi maalumu kuhakikisha hakuna mtu anaingia huko kama hajatekwa nyara au kwa maelekezo maalumu. Yes ni hapa Tanzania Bunju huko tutakuja na google stalite view...
Paul Makonda anaitumia Michezo sasa kuwin his trust kwa jamii aliyoiumiza sana kipindi cha Uongozi wa Magufuli kiasi cha kupigwa ban kuingia Marekani na Serikali ya Marekani bado ana tikisa na genge lake la Mafwele kwa Utekaji nyara wa Viongozi wa vyama Pinzani ambao sasa wanawaita wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.