<BR><BR><BR><BR><BR>na mmoja wao aliolewa mwaka jana huko arusha na wanaume wa 3 hadi akalazwa mtmeru na aicc sababu ya hiyohiyo<BR>midomo yao, now anaitwa kamanda wifi<BR><BR>
<BR><BR><BR><BR>unazungumzia kuiba, ulishawahi kuwaza gharama ya kurusha helkopta 3 nchi nzima ni sh ngapi? je hizo pesa zingetumika kununua vitanda na dawa hospitalini ulishawaza ni watu wangapi wangepona? au kuchonga madawati shule za huko vijijini wanakaa chini kibao
wanyama ni wanyama tu hata binadamu ni sehemu yao ndio maana wewe ukiona mtoto wa simba,chui, nyati nk aliezaliwa jana yuko peke yake wala hukimbii tena waweza kumchukua eti ukamfuge kwako.
hahaha khaaa! tatizo sijui kwanini me wakitumika sana nanihh zao hazichubuki au kupungua kubaduilika kama za ke, otherwise na wao wangekuwa majanga pia hadi kufikia kuoa una kasindano ka mtoto
caring ni kipaji cha mtu kwa jinsi alivyolelewa, huyo sidhani hata kama ana afair nje bali caring hana wala hajui,anajali nafsi yake na mali zake zaidi. ukiweza kuyavumilia hayo go ahead, kwa lugha rahisi ni bahili pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.