[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] ma Mshuza naanzaje kumkunja dada yangu na wewe upo!!!!
Kuwa mpole minogaza azame
Mkuu baki na imani yako na jichimbie zaidi katika kuamini kile ukiaminicho kamwe usimwamini mtu uwe na mizizi kwenye kile unachokiamini la sivyo utayumbishwa sana
Usimhukumu mtu kwa imani yake bali mweleze uzuri waimani uloiamini pengine waweza kumvuta na kufuata imani yako
Wanawake ni pasua kichwa hata ukifanya hayo mpaka ukampeleka choo na kumtawaza kwa ulimi wako iko siku atakachokufanyia hutaamini ndo maana wanajiua wanaume wengi
Kamwe usimwamini mwanamke mpende kama nafsi yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.