kila unapotaka kulia tena kwa ajili yake fikiria kwamba unazd kumpa jeuri kwa kukuacha(unampa kichwa), we ni mwanamke jasiri hukumtegemea yeye apo kabla na mthibitishie kama ata sasa haumuhtaj kiivyo... mfanye ajutie kukuacha!! Fanikiwa zaidi
Binafsi nampongeza uyu bwana (Mwakyembe) mwisho wa siku lazima kuwe na kiongozi wa kuonyesha mfano wengine wafuate tukiendelea kushobokea woga eti kwa vile wauza madawa wana mtandao mkubwa mara watammaliza hatutafika kokote kwenye hii vita dhidi ya madawa, ni lazima kuwe na m1 wa kumfunga paka...
inabidi busara itawale sana jamani kipindi iki, ukiangalia kwa undani hatuna haja ya kuingiza udini kwenye hili... mi nahisi kweli sumthing fishy with the polices, vyombo vya dola vijaribu kutoa majibu apa kwa kweli kabla hali haijawa mbaya zaidi
Habari wadau,
Naombeni msaada wenu katika hili, ninafanya kazi kwenye mazingira ya baharini sana na tupo kwenye chombo
ambacho ni kama meli lakini iki kimekua designed kwa ajili ya uchimbaji tu wa baharini ni 'semi-sub drilling rig'
sasa kwa kweli haipo stable kabisa sanasana ikiwa kwenye...
majina ya kizungu ni ya kikoloni.....wakoloni walishindwa kutuita majina yetu ya asili wakaamua kutubatiza ya kwao....tafuta jina zuri la kibantu mpe mtoto!! Hongera sana
sio kweli kwamba gesi ikibaki Mtwara itakosa watumiaji (kuna less demand), naamini tunaweza kuileta hyo demand kama tuna serikali ambayo ni visionary enough, refer Dubai wamejenga mahoteli ya kitalii juu ya bahari yao (artificial Islands) hawakuwaza eti hakuna demand ya utalii...
Well said mkuu na hamna la kuongeza apo, I once believed (when young) that the most smartest person is the one who sees that no one can be the smartest person.
Nmekua na nmegundua I was right, mans greatest achievements technologically ni baada ya kuamini/kugundua kwamba Man is Imperfect always...
Habari wanajamvi!!
Nimekua nikifatilia sana maswala yahusuyo lugha yetu adhimu ya Kiswahili na mara nyingi huwa najaribu
kutafuta majibu kwanza mwenyewe kwa Misamiati mingi ya lugha, unakuta huwa tumekopa au yanaambatana
na visasili vichache vinavyokupatia maana halisi ya neno husika...
Hii thread ngum jaman tuache utan, ina maelezo mazito yenye kubadili mtazamo wa yyte mwny Imani haba na Wachawi...lakni ni Jina lake Bwana Yesu pekee ndilo lenye uwezo na uweza wa kutuponya na machafuko haya. Tulisome Neno jaman.....
Nakushkuru Majmoto/Mama Porojo kwa maelezo yote ya umu ingawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.