Recent content by Mingendeu

  1. M

    Usajili wa Onana kwenye timu yetu, ndo anguko letu

    Ifike muda tukubaliane kuwa Man United imechoka, tuache kushangilia, wajipange upya. Kwasasa tusiende uwanjani 29 October. Mabadiliko yakija tuishangilie Arsenal. Arsenal inaweza kuleta tumaini jipya
  2. M

    GE2025 CCM na ze comedy ni Abdallah na Dullah au Ismail na Suma

    Yaani yule mzee alianzaga vizuri, alikuwa anahubiri neno vizuri tu, kuna muda ilifika point hata kuwakosoa baadhi ya wachungaji na manabii wenzie. Ila Leo hii sijui amekumbwa na nin, jana ndio amejivua nguo kabisaa
  3. M

    GE2025 CCM na ze comedy ni Abdallah na Dullah au Ismail na Suma

    Kama wapo basi hawajatambulishwa. Hawakuwepo
  4. M

    GE2025 CCM na ze comedy ni Abdallah na Dullah au Ismail na Suma

    Hivi ni kweli CCM imekosa viongozi wa dini wa kuomba neema ya Mungu katika ufunguzi wa kampeni leo?? Mwamposa amejitahidi kusimama kama mtumishi wa Mungu, Sala/ Dua amezielekeza vizuri. Yule shekhe na Hananja. Dua/ Sala zao hadi nimecheka. Kenani Kihongosi nae alijisahau kama ni Sala eti...
  5. M

    Vyuo vinavyotoa elimu online hapa Tanzania

    Naomba kujua vyuo vikuu vinavyotoa elimu online hapa Tanzania tofauti na Open University
  6. M

    Kwanini Lissu alikuwa ndo mwanasiasa wa kwanza kuulizia alipo Rais Magufuli?

    🤣🤣🤣sasa ulitaka CCM imtafute mwenyekiti wao?? Wao wana-access na IKULU nk. Wananchi wa kawaida kama Lissu walikuwa watu sahihi.
  7. M

    Mwenye taarifa za kutosha kuhusu Isimani- Iringa

    Ni wizara ya Kilimo kuna kituo cha kilimo. Sijafika bado hivyo sina taarifa za kutosha.
  8. M

    Je huu ndio ulikuwa mwisho wa Hananja

    Ngoma ikivuma sana, ujue unakaribia kupasuka
  9. M

    Mwenye taarifa za kutosha kuhusu Isimani- Iringa

    Kweli ni mtu wa maji kiasi. Nahitaji umakini huko
  10. M

    Mwenye taarifa za kutosha kuhusu Isimani- Iringa

    Hakuna uoga Ila ni muhimu sana kujiandaa na mazingira mapya
Back
Top Bottom