Ifike muda tukubaliane kuwa Man United imechoka, tuache kushangilia, wajipange upya. Kwasasa tusiende uwanjani 29 October. Mabadiliko yakija tuishangilie Arsenal. Arsenal inaweza kuleta tumaini jipya
Yaani yule mzee alianzaga vizuri, alikuwa anahubiri neno vizuri tu, kuna muda ilifika point hata kuwakosoa baadhi ya wachungaji na manabii wenzie. Ila Leo hii sijui amekumbwa na nin, jana ndio amejivua nguo kabisaa
Hivi ni kweli CCM imekosa viongozi wa dini wa kuomba neema ya Mungu katika ufunguzi wa kampeni leo??
Mwamposa amejitahidi kusimama kama mtumishi wa Mungu, Sala/ Dua amezielekeza vizuri.
Yule shekhe na Hananja. Dua/ Sala zao hadi nimecheka. Kenani Kihongosi nae alijisahau kama ni Sala eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.