ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 16,516
- 38,524
Onana alipata nafasi ya kuwa captain baada ya Captain wa yetu yetu kuuliwa na wachezaji ma legends ambao wana timu Yao ndani ya timu yetu
Onana kuwa captain tu kila mpira anabutua, amefunga wachezaji wa timu pinzani miguu anataka acheze peke yake, wengine amefungia vyumbani.
Onana ameungana na captain wa zamani na mashabiki wake, Sasa wanahujumu timu yetu na kuiba kila kitu hata mipira, timu yetu haina kitu Kwa sasa
Onana anataka kwenye mechi ya oktoba 29, acheze mwenyewe yaani Referee yeye, coach yeye na shabiki yeye, yaani Kwa kifupi Onana ana force kuwa Captain Kwa mbinu zote
Captain Onana ameacha langonla timu yetu Kwa warabu na wachezaji wahuni, wao kila mara kutufunga mabao
Captain Onana, ameshambulianna kuwafukuza mashabiki wa timu yetu huko Ngorongoro, ona Sasa mashabiki hawana sehemu ya kukaa kiwanjani, wao wanatanga Tanga kutazama mechi kwenye vibanda umiza
Captain Andre Onana, amejaza wachezaji wa timu yake, wachezaji wengine hawapo kwenye Club
Onana amempa timu yetu mtoto wake, michango yetu ndo mtoto ananunulia magari ya kifahari, we fikiria mtoto wa Onana ana gari 1 la billion 100 wakati watoto wetu mashabiki wanakaa chini
Mtoto wa Onana ndo muuza Rasimali zetu,
Onana ameua timu yetu, Sasa tunafungwa magoli ya karibu na Yale ya mbali
Onana Sasa kuelekea mechi ya Oktoba 29, yeye anapakia mashabiki ambao ni watoto wa shule kujaza uwanja. Maana sisi mashabiki wakubwa hatumtaki
Nawaza tu tufanyeje tumvue u captain huyu Onana
Onana kuwa captain tu kila mpira anabutua, amefunga wachezaji wa timu pinzani miguu anataka acheze peke yake, wengine amefungia vyumbani.
Onana ameungana na captain wa zamani na mashabiki wake, Sasa wanahujumu timu yetu na kuiba kila kitu hata mipira, timu yetu haina kitu Kwa sasa
Onana anataka kwenye mechi ya oktoba 29, acheze mwenyewe yaani Referee yeye, coach yeye na shabiki yeye, yaani Kwa kifupi Onana ana force kuwa Captain Kwa mbinu zote
Captain Onana ameacha langonla timu yetu Kwa warabu na wachezaji wahuni, wao kila mara kutufunga mabao
Captain Onana, ameshambulianna kuwafukuza mashabiki wa timu yetu huko Ngorongoro, ona Sasa mashabiki hawana sehemu ya kukaa kiwanjani, wao wanatanga Tanga kutazama mechi kwenye vibanda umiza
Captain Andre Onana, amejaza wachezaji wa timu yake, wachezaji wengine hawapo kwenye Club
Onana amempa timu yetu mtoto wake, michango yetu ndo mtoto ananunulia magari ya kifahari, we fikiria mtoto wa Onana ana gari 1 la billion 100 wakati watoto wetu mashabiki wanakaa chini
Mtoto wa Onana ndo muuza Rasimali zetu,
Onana ameua timu yetu, Sasa tunafungwa magoli ya karibu na Yale ya mbali
Onana Sasa kuelekea mechi ya Oktoba 29, yeye anapakia mashabiki ambao ni watoto wa shule kujaza uwanja. Maana sisi mashabiki wakubwa hatumtaki
Nawaza tu tufanyeje tumvue u captain huyu Onana