Recent content by minesy joel

  1. M

    Vita ya Clouds Media Vs Media Zingine Itaua Mziki Wetu

    Yani hawa clouds FM washakua shida kwny hiyo tasnia cjui huwa wakoje!.awajui ni wakati wa ushindani sio kama enzi zile.
  2. M

    Nani analipia hizi kesi za akina Lema?

    Unauliza wewe kama nani?nenda kunakohusika ukaulize
  3. M

    Je, FIESTA inawalipa kiasi gani wasanii? Je wanaibiwa?

    Waache wanyonywe si hawana umoja wao bora liende njaa NJAA tu
  4. M

    Kwa nini nimefurahi Diamond kukosa tuzo?

    Safiii tumekuelewa changamoto nzuri inamfanya mtu mwenye ufahamu aongezee bidii.
  5. M

    Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

    Yani mhhhuuu hilo nalo neno jamani kaah mungu huyu mwacheni aitwe mungu,wao ndio wanaumia.....
  6. M

    Mafundi Gereji acheni kuchafua hovyo magari mnayoletewa kutengeneza

    Yani mtoa post usinikumbushe wanakera sanaaa mafundi gereji,Mimi nilipeleka gari gereji nikaliacha ili wanirekebishie lock za milango kumbe nilivyogeuza kisogo nikamalizie shuguli zangu nae katoka nalo aisee alikula mzinga wa haja aliliingia fuso kwa nyuma sitosahau mbele kote...
  7. M

    Mahojiano na Kafulila yafutwa Clouds TV

    Okey sawaa ,basi cku nyingine
  8. M

    DStv yashusha bei za vifurushi, yajaza chaneli

    Hawa Dstv vipi?punguzo gani hilo?hivi tunawang'ang'ania nini hawa hapa tz?nahisi ndio walifanya mpk Gtv wakafilisika ili waendelee kutesa waafrika,.magufuli ingia uko uondoa ukiritimba HUU wa dstv watanzania tunapenda mpira lakin hatuoni ligi za mataifa ya ulaya kwasbb ya dstv mpk uefa ni...
  9. M

    Mgogoro CUF: Jaji Mutungi amchambua Mtatiro na wenzake, anawatambua Prof. Lipumba na Seif

    Huyu mtungi cjui mitui yeye ni nani?ndie aliyewatungia cuf katiba au?au ndie muasisi Wa cuf?haya nayo ni mamovie ya mutungi na aliyemtuma.
  10. M

    Hii ndo sababu inayomfanya Diamond asishiriki Fiesta 2016

    Bora ajashiriki kwa pesa gani ya fiesta?chibu Jilie pesa yako.na voda com banaa mkataba mnonoooo huo
  11. M

    Mjue Mtoboaji macho, Salum Njwete (Scorpion) na watu wake

    Yaniii Nina mchukia huyu jibaba scorpion eeh mungu nisamehe kwa maneno hay,.huyu hanyongweeee hadharaniii huku tukishuhudiaa tena Mimi nitakua mstari Wa mbele kushuhudia hayo mauaji na kupiga mayowe ya kushangilia
  12. M

    Rais Magufuli: Waziri mzima unampelekaje mkeo ATCL?

    No research no right 2 speak,...sasa cdhani kama msemo HUU yeye anautumia kama alivyomaanisha zaidi ya kila cku new maneno mapya ya ukali yasiyo na research.
  13. M

    Rais Magufuli: Waziri mzima unampelekaje mkeo ATCL?

    Kweli hapo hakuna kipenzi cha maskini,nmeenda hospital wiki iliyopita panadol nikaandikiwa nikanunue,bora wangetujazia madawa hospital hizo ndege na hali hii nani atapanda,.!
Back
Top Bottom